The House of Favourite Newspapers

Morisson Asimamishwa Simba

0

 

KIUNGO mshambuliaji wa Kimataifa Raia wa Ghana, anayekipiga ndani ya Klabu ya Simba, Bernard Morrison asimamisha kwa muda hadi suala lake la kinidhamu litakapo paatiwa ufumbuzi.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya klabu hiyo, Morrison amekuwa na tabia ya kutoka kambini bila ruhusa kinyume na taratibu

Aidha ametakiwa kutoa maelezo ya maandishi kwa mtendaji mkuu wa Simba ana akishindwa kufanya hivyo hatua zaidi za kinidhamu zitachukuliwa.

 

Kupitia mtandao wake wa Instagram na Twitter, Morisson ameandika;

“Jambo kubwa linakwenda kutokea, unaweza kuhisi ni nini???????

Soma hapa chini uone alichoandika.

Leave A Reply