The House of Favourite Newspapers

Mshangao! Mke Amuua Mumewe Wa Ndoa, “Alimpiga Na Kitu Kizito Kichwani”-Video

0

Tukio lisilo la kawaida limetokea mkoani Dodoma baada ya mwanamke aliyefahamika kama Khadija Salumu kudaiwa Kumuua mumewe kwa kumpiga na kitu kizito kichwani na sehemu mbalimbali ya mwili wake. Waandishi wetu Richard Bukosi na Issa Mnali wamefunga safari mpaka Mkuranga mkoani Pwani mahali alipozikwa marehemu ambaye enzi za uhai wake alikuwa ni dereva wa mabasi ya abiria yaendayo mikoani. Na hii ni GLOBAL TV…ENDELEA

Leave A Reply