Mshindi wa Tatu Mzuka Apatikana, Anyakuwa Milion 55
Siku ya jana Mratibu wa shindano la Tatu Mzuka, Sebastiani Maganga amemtangaza, Juma Omary mshindi wa droo hiyo inayoendelea baada ya kujishindia milioni 55,00,000/-
PICHA: IMELDA MTEMA | GLOBAL PUBLISHERS