MWILI WA DADA WA SHIGONGO WATOLEWA MOCHWARI MWANZA
MWILI wa dada wa Mkurugenzi Mtendaji wa makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, marehemu Vaileth James Bukumbi, leo umetolewa katika mochwari ya Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza na kupelekwa nyumbani kwake Nyamhongolo jijini Mwanza ambapo kesho utasafirishwa kupelekwa Bupandwamhela kwa ajili ya mazishi.
Ndugu wa marehemu wakiongozwa na Mkurugenzi wa Global Group, Masha Bukumbi, waliuaga mwili huo.
Picha zote na Johnson James
Comments are closed.