The House of Favourite Newspapers

Nicki Minaj Apata Mtoto

0

IMERIPOTIWA kuwa mwanamuziki Nicki Minaj  na mpenzi wake, Kenneth Petty, wamepata mtoto wao wa kwanza baada ya Nicki kujifungua siku ya jana huko Los Angeles.

 

Nicki ali-share kwa mara ya kwanza kuwa ni mjamzito na anatarajia mtoto mwezi wa Julai mwaka huu. Pamoja na ku-post picha zake akiwa mjamzito kupitia ukurasa wake wa Instagram.

 

Hata hivyo, mpaka sasa bado jinsia wala jina la mtoto huyo havijawekwa wazi.

Leave A Reply