The House of Favourite Newspapers

Nimehitimu Masomo ya Udaktari Chuo Kikuu Lakini Nafanya Kazi ya Kuosha Magari

0

Jina langu ni Kambole kutoka Dodoma nchini Tanzania, nimemaliza Chuo Kikuu cha Muhimbili mwaka 2020, baada ya hapo nilipangiwa kwenda field Hospitali ya General iliyopo Dodoma.

Ili kuweza kukidhi mahitaji yangu niliamua kununua mashine za kuoshea magari pamoja na pikipiki na kujiajiri, kwa siku naingiza hadi Sh200,000, ila kuna muda inategemea na siku na siku, kwa mafano wikiendi wateja wanakuwa wengi.

Nafanya kazi hii karibu sana na chuo, wanafunzi wanaonikuta hapa hawajui kuwa nimesoma na wananichulia kama muhuni tu wa mtaani, hawajui na mimi nimepita pale walipo.

Kuna safari alikuja mwanafunzi wa chuo na girlfriend wake nimuoshe pikipiki, wakati naosha alikuwa anaongea maneno mabaya kuhusu mimi, bahati nzuri sikusikia.

Walivyoondoka rafiki yangu akanisimulia, nilicheka tu, nikajisemea moyoni wakimaliza chuo ndio wataelewa. Nakutana na maneno mengi ya dharau, hawajui mimi kitaaluma ni Dokta ila nimejiari kupitia carwash yangu na inanilipa vizuri tu.

Kuna mmoja alinikuta hospitali nikiwa nahudumia wagonjwa, hakuamini maana ananifamu tu kama mwosha magari, na kwa sasa nimeamua kusimamia hii biashara yangu, maana ndio inanilipa zaidi ingawa nilipewa nafasi ya kuendelea kujitolea pale hospitali.

Yule mwanafunzi alinifuata pale carwash akaniuliza kwanini nafanya kazi ile wakati mimi ni Dokta, ukweli ni kwamba nilifanya kazi hii baada ya kufanya kazi ya Udaktari kwa muda mrefu bila ajira rasmi ndipo nikafungua carwash  yangu.

Hata hivyo, mwanzo biashara ilikuwa ni ngumu sana, kuna siku ilikuwa inaisha unakutana nimeosha pikipiki moja tu ambayo bei yake ni Sh2,000, ndipo nikaenda kwa Kiwanga Doctors ili aweze kunifanyia tiba yake ya kuvuta wateja.

Kweli baada ya kufanyiwa tiba na Kiwanga Doctors mambo yakaanza kuwa mazuri kwangu hadi sasa katika carwash yangu, nimeajiri vijana sita na kuweka eneo la kuuza vinywaji kwa wateja wangu.

Siku zote kumbuka Kiwanga Doctors anatoa huduma kama kusafisha nyota, kusuluhisha migororo ya ndoa, mahusiano, mapenzi na familia, kumfunga mume au mke asitoke nje ya ndoa, anatoa tiba kwa wanaotafuta watoto.

Vilevile anatoa huduma ya kukusaidia kupata kazi au ajira, kupandishwa cheo na mshahara kazini, kuwasaidia wenye urahibu wa dawa za kulevya, sigara na pombe, kwa wanaotafuta mume au mke pia anawasaidia tena ndani ya siku chache.

Anatibu magonjwa kama kisukari, msukumo wa damu (BP), upungufu wa nguvu za kiume, miguu kuwaka moto n.k, pia anaweza kuisadia biashara yako kunawiri, na huduma zote hizi unaweza kuzipata bila kufika ofisini kwake.

Basi chukua hatua ya kuwasiliana na Kiwanga Doctors kwa namba; +254 769 404965.

Leave A Reply