The House of Favourite Newspapers

Nyamayao Mkali wa Filamu za Kichina Atinga Global

0
Nyamayao (kushoto) akisalimiana na Mhariri Mtendaji wa Global Publishers, Saleh Ally, baada ya kuwasili katika Ofisi za Kampuni hiyo zilizopo, Sinza Mori, Dar.
Mhariri wa Gazeti la Risasi Jumamosi, Hamida Hassan, akiwaongoza wageni kutembelea ofisi za Global Publishers.
Meneja Masoko na Mahusiano wa Star Times Tanzania, Juma Sharobaro akisoma Gazeti la Uwazi, pembeni yake ni Nyamayao. Kushoto ni Mhariri wa Risasi Mchanganyiko, Ojuku Abraham na kulia ni Mhariri wa Uwazi, Elvan Stambuli.
Nyamayao akisalimiana na Mhariri wa Gazeti la Ijumaa Wikienda, Sifael Paul.
Hamida akimuelekeza jambo Sharobaro wakati Nyamayao akisalimiana na mwandishi, Gladness Mallya.
Nyamayao akisalimiana na Mhariri wa Gazeti la Amani, Erick Evarist.
Nyamayao akisalimiana na mwandishi, Ally Katalambula, wakati Sharobaro akisalimiana na Boniface Ngumije.
…Wakisalimiana na mfanyakazi wa Global Publishers, Davina Lema.
Nyamayao akisalimiana na Mhariri wa Video, Amani Madebe.
..Akisalimiana na mwandishi wa Championi, Lucy Mgina.
…. Akisalimiana na Mhariri wa Championi Jumatano, Philip Nkini.
…Akisalimiana na Msanifu Kurasa, Noel Joseph. Kushoto aliyeketi Msanifu Kurasa, Bahati Sharuwa.
Wageni wakitambulishwa kwa watendaji wa Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano na Global TV, kulia ni Nicolaus Venant na pembeni yake ni Mkuu wa Idara, Edwin Lindege.

BALOZI wa StarTimes Tanzania, ambaye hufanya tafsiri ya filamu za Kichina kwa Lugha ya Kiswahili ambazo hurushwa na StarTimes, Nyamayao ametembelea Ofisi Mpya za Kampuni ya Global Publishers zilizopo Sinza Mori jijini Dar es Salaam na kupata fursa ya kubadilishana mawazo na wafanyakazi wa kampuni hiyo.

Nyamayao ambaye ni mshindi wa mashindano ya Kiswahili ya StarTimes aliambatana na Meneja Masoko na Mahusiano wa StarTimes Tanzania, Juma Sharobaro ambapo alipata pia fursa nyingine ya kufanyiwa Exclusive interview na Global TV Online. Katika mahojiano hayo, Nyamayao ameanika mengi ikiwemo maisha yake ya sasa na mipango yake ya baadaye.

Picha na Musa Mateja | GPL.

Baada ya Kuona Hali ya Tundu Lissu, Sheikh Ponda Azungumza Haya

Leave A Reply