×

Meseji za Mbowe Akisaka Makomando wa JWTZ Zasomwa Mahakamani

JUMBE fupi za maneno (meseji), zinazodaiwa kuwa za Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na baadhi ya washtakiwa wenzake, katika kesi...

READ MORE

Mambo Magumu, Rose Muhando Aomba Kuolewa na Mume Mzungu

Msanii wa Injili na Hit Maker wa ‘Utamu wa Yesu’ Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa. Rose...

READ MORE

Kijana Ajinyonga Kwenye Goli Akiwa na Nguo ya Ndani za Kike

Tyson Kilasi (32) mkazi wa Kijiji cha Mawindi halmashauri ya wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe, amekutwa amefariki kwa kujinyonga kwenye...

READ MORE

Rooney Atajwa Kuinoa Everton

MKONGWE wa Manchester United, Wayne Rooney anatajwa kuwa huenda akarithi mikoba ya Rafael Benitezndani ya Goodison Park. Everton siku ya...

READ MORE

Ajifungua Mtoto Akiwa Na Umri Wa Miaka 11

  Pichani Victoria Ajey mwenye miaka 11 amejifungua mtoto wa kiume baada ya kubakwa na mume wa shangazi yake, mwanaume...

READ MORE

Mobetto Amkana Rick Ross

MWANAMITINDO na msanii maarufu Bongo, Hamisa Mobetto amekana madai kwamba ana uhusiano wa kimapenzi na Rapa wa Marekani Rick Ross....

READ MORE

Rais Samia Aweka Historia Maji kufika Kisiwa cha Jibondo – Mafia

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amezindua Mradi wa Maji wa Kisiwa Kidogo Cha Jibondo Wilayani Mafia Mkoa wa...

READ MORE

Dodoma: Mabasi ya Abiria Kusindikizwa na Polisi

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma amesema kuanzia kesho mabasi ya abiria kutoka mkoani humo kwenda mikoa mingine yatakuwa yanasindikizwa...

READ MORE

Ruvu Shooting Inautaka Ubingwa Ligi Kuu

UONGOZI wa Ruvu Shooting, umebainisha kuwa lengo lao kuu ni kufanikisha timu yao inatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu...

READ MORE

Coastal Union Wakosa Mil 50 Kisa Yanga

WACHEZAJI wa Coastal Union, waliahidiwa kuondoka na kiasi cha shilingi milioni 50 kama wangeendeleza ubabekwenye uwanja wa Mkwakwani kwa kuifunga...

READ MORE

Mlinzi Mbaroni kwa Kumpiga Risasi Bodaboda

Jeshi la Polisi mkoani Kagera linamshikilia mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Panolama Bw. Elizeus Gabriel kwa tuhuma za kumuua...

READ MORE

 Mshindi BSS ni wa mchongo?

MSHIRIKI kutoka Dar, Brayson Yohana ameibuka Mshindi wa Shindano la 12 la kusaka vipaji (Bongo Star Search – BSS) msimu...

READ MORE

Matetemeko Mawili Yaua Watu 20 Afghanistan

MAOFISA Usalama nchini Afghanistan wamesema watu zaidi ya 20 wamefariki kufikia sasa baada ya matetemeko ya ardhi ya mfululizo kukumba...

READ MORE

Mwamuzi Mtanzania Kuchezesha AFCON Leo

Mwamuzi wa Tanzania Frank Komba ni miongoni mwa waamuzi watakao chezesha mchezo wa kundi C wa michuano ya AFCON mchezo...

READ MORE

Mtoto wa Profesa Jay, Wa Babalevo Watusua

FAMILIA za mastaa wawili Bongo Profesa Jay na Baba Levo zimegubikwa na furaha baada ya matokeo ya kidato cha nne...

READ MORE

Mlinzi Soko la Karume Asimulia Kila Kitu Alichokiona

KUFUATIA tukio la usiku wa kuamkia Jumapili, Januari 16, 2022 la soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo...

READ MORE

Serikali Imekana Kuchoma Soko Karume

MNAMO usiku wa kuamkia Jumapili ya Januari 16, 2022 soko la wafanyabiashara wadogo wadogo maarufu kama Machinga maeneo ya Mchikichini...

READ MORE

Tetemeko Lazua Taharuki Dodoma

Taasisi ya Jeolojia na Utafiti wa Madini (GST) imesema tetemeko la ardhi lenye ukubwa wa 5.5 katika kipimo cha richter...

READ MORE

Zimamoto: Taarifa za Soko la Karume Zilichelewa

Mrakibu Msaidizi wa Jeshi la Zimamoto mkoa wa Ilala Elisa Mugisha, amesema kwamba taarifa za kuungua kwa soko la Karume...

READ MORE

Hatua Ya Makundi Ya Afcon Inatamatika, Epl, Efl Cup Nako Mambo Safi!

Wakati baadhi ya mataifa yakiwa yamejihakikishia kucheza Hatua ya 16 Bora, baadhi yao bado hali ni tete. EPL na nusu...

READ MORE