ACT- WAMJIBU RAIS MAGUFULI ISHU YA KUTOONGEZA MISHAHARA
CHAMA cha Act-Wazalendo kimesikitishwa na kauli ya Rais Magufuli aliyoitoa jana kwenye ufunguzi wa mkutano wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) kuhusu mishahara ya wafanyakazi aliposema alipoingia madarakani hakusema…
Yaliyojiri Kisutu Kuhusu Uamuzi Kesi ya Wema Sepetu
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imekwama kutoa uamuzi wa ama kupokea au kutopokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu katika kesi ya kutumia dawa za kulevya kwa sababu Hakimu hajamaliza kuandaa uamuzi…
Yaliyojiri Kortini Kuhusu Kesi ya Vigogo wa Simba
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya utakatishaji fedha na kugushi inayowakabili Rais wa Simba, Evans Aveva na Makamu wake, Geofrey Nyange ‘Kaburu’ hadi October 11, 2017 kwa sababu upelelezi haujakamilika.…
MADEE: SIAMINI KAMA ROMA ALIKWENDA ZIMBABWE
MSANII wa Bongo Fleva, Ahmadi Alli ‘Madee’ anayefanya vizuri na wimbo wake mpya wa ‘Sema’ ametoa povu juu ya wimbo wa Roma Mkatoliki wa ‘Zimbabwe’ akisema ni mzuri ila haamini kama kweli alienda nchini Zimbabwe kama alivyodai wakati…
Mwana FA Ashindwa Kujizuia Kwa Lady Jaydee
RAPA Mkongwe anayetamba na ngoma ya Dume Suruali, Mwana FA ameshindwa kuvumilia na kuvunja ukimya kwa kuonyesha sapoti kwenye video ya ngoma mpya ya Mkongwe Lady Jaydee 'I miss you' ikiwa ni miaka takribani minne tangu fukuto la…
Aslay – Natamba (Official Audio)
Aslay anaonekana yupo serious na game ya Bongo ikiwa ni wiki chache tu toka aachia video ya ‘Pusha’ na sasa ametoa audio yake mpya ya ‘Natamba’ ambayo imetayarishwa na Shirko.
New Video: Lady Jaydee – I Miss You
" I MISS YOU" is another classic from the legendary Lady JayDee. It is a sensational and true expression of how a lover feels when missing a partner.
Nyumba ya Msanii Bobi Wine Yapigwa Bomu
TAARIFA kutoka nchini Uganda zinasema shambulio la bomu la kutupwa na mkono limepiga kwenye nyumba mbili za wabunge wawili wa upinzani nchini humo.
Taarifa zinasema kwamba nyumba za wabunge hao wawili ni pamoja na Mwanamuziki …
SHINDA MILIONI 100 CHAPCHAP NA SOKABET
Fungua tovuti ya Sokabet ambayo ni www.sokabet.co.tz kupitia simu, kompyuta au kifaa chochote kilichounganishwa na internet.
Jiandikishe kwa kubonyeza ‘SIGN UP’, jaza nafasi zilizo wazi, ukimaliza utatumiwa namba yako ya siri kwa…
Mtibwa: Tumejipanga Kutwaa Kombe
KUFUATIA mfululizo wa kukaa kileleni mwa Ligi Kuu Bara kila msimu unapoanza, Kocha wa Mtibwa Sugar, Zuberi Katwila, amezungumzia siri ya mafanikio na mbinu hizo huku akiweka bayana mipango yake ya kutwaa kombe hilo.
…
Omog: Tutawafunga Yanga Mwezi Huu
KOCHA Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog amesema kuwa baada ya kufanikiwa kuondoka na pointi nne Kanda ya Ziwa, tayari ameanza mikakati ya kuhakikisha timu hiyo inapata ushindi katika mechi zake tatu zijazo ambazo itacheza ndani ya…
Kauli ya RC Makonda Baada ya JPM Kumpa ‘Tano’
BAADA ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli kutaka Wakuu wa mikoa wengine kuiga utendaji kazi wa Paul Makonda ambaye ni Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mkuu wa mkoa huyo amemshukuru Rais Magufuli na…
Jezi ya Niyonzima Yazua Sekeseke Mtandaoni
BAADA ya kuibuka minog’ono ya muda mrefu kuhusu Kiungo wa Simba, Haruna Niyonzima raia wa Rwanda, kutoposti picha kwenye mitandao yake ya kijamii akiwa na uzi wa Simba, nyota huyo ameibuka na kusema kuwa ametua katika klabu hiyo kwa…
Kocha Mtibwa: Pointi ya Yanga Itatupa Ubingwa
BAADA ya vinara wa Ligi Kuu Bara, Mtibwa Sugar kuwang’ang’ania kooni mabingwa watetezi, Yanga na kuwalazimisha suluhu, Kocha Mkuu wa Mtibwa, Zuberi Katwila, amefunguka kuwa pointi moja ambayo wameipata kwa wapinzani wao hao itawasaidia…
Wabongo Wamkwaza Lulu Diva Kimapenzi
HIT maker wa Kibao cha Usimwache, Lulu Abasi maarufu kama Lulu Diva, ameelezea kukwazwa kwake na wanaume wa Kibongo kutokana na utapeli wao wa kimapenzi, tofauti na wenzao wa mataifa ya nje.
Bila kufafanua mataifa ambayo wanaume…
Roma: Mwanaume Kuoga Mwisho Mara Mbili
STAA namba moja katika Hip Hop kwa sasa nchini, anayetamba na kibao na video yake ya Zimbabwe, Ibrahimu Musa a.k.a Roma Mkatoliki, amesema licha ya usafi kuwa ni muhimu, lakini mtoto wa kiume anastahili kuoga angalau mara mbili tu kwa…
NASSARI: Maisha Yangu Yapo Kwenye Bonde la Uvuli wa Mauti
MBUNGE wa jimbo la Arumeru Mashariki (CHADEMA) Joshua Nassari amefunguka na kusema maisha yake yapo hatarini na kudai kuwa watu ambao amewaanika kwenye sakata la ununuzi wa madiwani wanamtafuta.
Nassari amesema hayo ikiwa…
Magazeti Ya Tanzania Leo Jumatano, Oktoba 4, 2017
Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Oktoba, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App
Rais Magufuli: Hata Kama Hajui ‘A’… Kwangu RC Makonda ni Msomi Mzuri
RAIS, Dkt. John Pombe Magufuli amesisitiza kuwa hakuja kuuza sura bali kufanya kazi na kwamba mke wake akimpenda inatosha kwake.
Rais Magufuli amesema hayo jana alipokuwa akihutubia Mkutano Mkuu wa 33 wa Jumuiya ya Tawala za…
VIDEO: PSPF YAFUNGUA OFISI MPYA PEMBA NA UKEREWE, NI SEHEMU YA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA DUNIANI
NA K-VIS BLOG/KHALFAN SAID
MFUKO wa Pensheni wa PSPF, umezindua ofisi mpya mbili moja kisiwani Pemba na nyingine kisiwa cha Ukerewe mkoani Mwanza.
Akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya PSPF jijini Dar es Salaam…
NENO LA SHUKURANI KWA WAFANYAKAZI NA MKURUGENZI WETU, ERIC JAMES SHIGONGO
Kila jambo jema na lenye mafanikio halikosi kuwa na watu nyuma yake waliosababisha mafanikio hayo. Wakati na baada ya harusi yetu, Mrisho na Catherine, tumekuwa tukipokea pongezi nyingi kutoka kwa ndugu na marafiki, waliohudhuria na…
George Majaba Amenunua Nyumba kwa Sh. 59,500 Tu!
UKISIKIA kismati ndiyo kama hiki. Mshindi wa Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba Awamu ya Pili, George Majaba, ambaye ni mkazi wa Makole, Makao Makuu ya Nchi, Dodoma, ni sawa na kuwa ameinunua nyumba yake hiyo mpya, yenye thamani ya…
YALIYOJIRI KESI YA MALIMA KUDAIWA KUSHAMBULIA POLISI
KESI ya Naibu Waziri wa Fedha wa zamani, Adam Malima na dereva wake, Ramadhan Mohammed, ya kuzuia Polisi kutekeleza majukumu yao na kushambulia, imeahirishwa hadi Novemba Mosi mwaka huu.
Kesi hiyo iliyopo katika…
RC Rukwa Aishauri Benki ya NMB Kufungua Tawi Bonde la Ziwa Rukwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Kamishna Mstaafu Zelote Stephen ameishauri benki ya NMB kufungua tawi katika bonde la Ziwa Rukwa ili kusogeza huduma hiyo karibu na wananchi ambao shughuli zao kubwa za kiuchumi ni kilimo cha…
Mhasibu Ahukumiwa Jela kwa Kumkashifu Rais Magufuli
Mhasibu wa Shule ya Sekondari ya Mtakatifu Joseph, Elizabeth Asenga (40) amehukumiwa kulipa faini ya Sh 5 milioni ama kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kukutwa na hatia katika shitaka la kutuma ujumbe wa kumkashifu Rais John…
Kortini Kwa Kusambaza Uongo Kuhusu Mazungumzo ya Serikali na Acacia
MKAZI wa Chato mkoani Geita, Obadia Frank (41), mapema leo amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu tuhuma za kuchapisha taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Facebook kuhusu mazungumzo kati ya Serikali na…
Matonya… Dudu Baya, Chid Benz, Jifunzeni Kitu
MATONYA ni jina la mwanamuziki mwenye heshima kubwa Bongo, amewahi kutamba na nyimbo nyingi zikiwemo Uaminifu, Siamini, Vaileti, Anita, Zilipendwa na ameshirikiana na wasanii wengi na wakali nchini.
Kwa muda aliokaa kwenye gemu la…
KISA ELFU 70, RAV 4, IDRISS AMCHEFUA MOBETO MITANDAONI!
KIMENUKA Mitandaoni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, kufuatia sakata la mshindi wa Big Brother Africa ‘BBA’ mwaka 2014, Idris Sultan, ambaye kupitia ukurasa wake wa mtandao wa kijamii, aliandika ujumbe kwa mzazi mwenziye mwanamitindo,…
JPM: Nimepata Taarifa Kuna Wakurugenzi Wawili Watatu Walevi
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli ameahidi kuwafukuza kazi Wakurugenzi kadhaa wa halmashauri kwa ulevi wa pombe pindi wawapo makazini.
Rais Magufuli amesema hayo alipokuwa kwenye Mkutano wa 33…
LUKAKU AUMIA TIMU YA TAIFA, MOURINHO ANG’AKA
Mshambuliaji wa Manchester United, Romelu Lukaku anasumbuliwa na maumivu ya kifundo cha mguu na kuna uwezekano akakukosa mchezo wa timu yake ya taifa ya Ubelgiji dhidi ya Bosnia.
Lukaku amefanyiwa vipimo kujua ukubwa wa tatizo la afya…
Nuh Afungukia Povu la X-Wake
KUFUATIA povu alilolitoa aliyewahi kuwa mke wa mwanamuziki Nuh Mziwanda, bidada Nawali kwenye kituo kimoja cha televisheni kwamba baba wa mtoto wake huyo hamuhudumii mtoto wao, Nuh amefunguka kuwa mwanamke huyo anatafuta kiki na si…
Duma Afungukia Kufanya Uchafu na Uwoya
MUUZA nyago kwenye muvi za Kibongo, Daud Michael ‘Duma’ juzi kati alipobanwa juu ya kufanya uchafu na muigizaji mwenziye Irene Uwoya kwenye muvi ya Bei Kali kwa kunyonyana ndimi na midomo hadharani alisema kuwa huo si uchafu bali…
Wolper aonyesha mahaba kwa Fid Q
STAA wa Filamu Bongo, Jacquline Wolper amefunguka kuwa msanii anayemkubali kwa sasa Bongo ni Fareed Kubanda ‘Fid Q’ na hiyo ni kutokana na utendaji wake mzuri wa kazi na nyimbo bora anazotoa.
Akichonga na Uwazi Showbiz, Wolper…
Mkurugenzi Mpya Ajipanga Kuifikisha Mbali Zaidi Zantel
Dar es Salaam: Wateja wa Kampuni ya Mawasiliano ya simu Zantel wataweza kuendana na mabadiliko ya kidunia katika sekta ya Mawasiliano kupitia mfumo ulioboreshwa wa data na sauti baada ya kumalizika kwa kazi ya…
Aliyeua Watu 59, Kujeruhi 527 Las Vegas Alikuwa Bilionea
MTU ambaye Jumapili iliyopita usiku aliua watu 59 na kujeruhi 527 kwa bunduki jijini Las Vegas, Marekani, alikuwa ni tajiri mkubwa ambaye alikuwa amejaza bunduki 23 kwenye chumba chake cha hoteli ya Mandalay Bay ambacho alikigeuza kuwa…
Waliokuwa Maofisa wa TanTrade Wahukumiwa Miaka 3 Jela
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewahukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Sh5 milioni kwa kila kosa waliokuwa Mkurugenzi wa Utafiti na Mipango wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (Tan Trade) Samweli Mvingira na Naibu…
Said wa Scorpion Kufikishwa Kortini
SAKATA la Said Mrisho aliyedaiwa kutobolewa macho na Salum Njwete ‘Scorpion’ na mkewe Stara Sudy, linatarajiwa kufikishwa mahakamani baada ya kushindwa kuelewana ngazi ya Ustawi wa Jamii.
Said na mkewe waliingia kwenye bifu zito siku…
Magazeti Ya Tanzania Leo Jumanne, Oktoba 3, 2017
Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo, Oktoba, 2017. Ni yale ya Hardnews, Udaku na Michezo.
Usipitwe na Matukio, Install ===>Global Publishers App
Lema: Takukuru Wameshaanza Kuwachunguza Madiwani Arusha -Video
WABUNGE wa Chadema, Joshua Nassari (Arumeru Mashariki), Godbless Lema ( Arusha Mjini) na Mchungaji Peter Msigwa(Iringa Mjini) wamesema uchunguzi dhidi ya tuhuma za rushwa unaowakabili waliokuwa madiwani wa Arusha na baadhi ya viongozi wa…
AIRTEL YASHEREHEKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA KWA KUZINDUA OFA KAMBAMBE
Airtel leo wamezindua shamra shamra za wiki ya huduma kwa mteja kwa kuwakaribisha wateja wake wote waliongia madukani kwao kwa kukata keki na kuzindua kifurushi maalum cha sh 1000 cha OFA KABAMBE kinachodumu kwa…