×

Rais JPM, Mama Samia, Majaliwa Wafika Kutoa Pole Msiba wa Balozi Lusinde

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiagana na Msemaji wa Familia ya Marehemu Balozi Lusinde, Waziri Mkuu Mstaafu John Samwel Malecela mara...

READ MORE

Jembe Jipya Yanga Lamtaja Morrison

WINGA wa AS Vita ya DR Congo, Tuisila Kisinda anayekaribia kutua Yanga, amesema anatamani kucheza pamoja na winga, Bernard Morrison...

READ MORE

Nafasi za Masomo Chuo Cha Hombolo Kwa Mwaka 2020/2021

Mkuu wa Chuo cha Serikali za Mitaa (Hombolo) anakaribisha maombi ya kujiunga na masomo kwa mwaka 2020/2021 katika ngazi ya...

READ MORE

Mashahidi 15 Wadsubiriwa Mahakamani Kesi ya Idris Sultan

UPANDE wa mashitaka unatarajiwa kuita mashahidi 15 na vielelezo mbalimbali wakati wa usikilizwaji wa kesi inayomkabili mchekeshaji Idriss Sultan na...

READ MORE

Haijawahi Kutokea! Mapokezi Ya Simba Dar (Picha +Video)

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Simba leo Julai 9, 2020 wametua Dar wakitokea Lindi ambapo walikuwa na mchezo wa...

READ MORE

Bushoke Amrudisha K-Lynn Kwenye Game

KAMA ilivyokawaida mpendwa msomaji wa kolamu hii ya Yupo Wapi kukuletea waliowahi kuwa mastaa na kisha kupotea, ambapo leo nimekuletea...

READ MORE

JPM Atoa Pole Msiba wa Balozi Lusinde

  RAIS JohnMagufuli leo Alhamisi, Julai 9, 2020, amewatembelea na kuwapa pole wafiwa nyumbani kwa marehemu Balozi Job Lusinde, Uzunguni,...

READ MORE

Jide Ataka Uchebe Akamatwe, Apigwe!

STAA wa muziki nchini, Judith Wambura ‘Lady Jaydee’, ametaka Ashrafu Sadiki aliyekuwa mume wa msanii mwenzie Shilole akamatwe na kupigwa...

READ MORE

Afariki Akimwokoa Mwanaye Nyumba Ikiteketea

INASIKITISHA sana! Mwanamke mmoja amemwokoa mtoto wake kwa kumrusha kupitia kibarazani wakati ajali kubwa ya moto uliotokea na kuteketeza nyumba...

READ MORE

GSM Watupa Kombora Simba SC

MKURUGENZI Uwekezaji wa Kampuni ya GSM, Injinia Hersi Said, amesema kuwa ni aibu kwa timu hiyo kumaliza msimu bila ya...

READ MORE

Takukuru Yamhoji Lusinde kwa Tuhuma za Rushwa

MBUNGE wa Mtera, Livingstone Lusinde amehojiwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kwa tuhuma za kugawa fedha...

READ MORE

Hatutaruhusu Rais Aongeze Muda – Bashiru

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amesema chama hicho hakitakubali Rais John Magufuli kuongeza muda wa...

READ MORE

Dkt Bashiru: Maalim Seif Hatutishi ni Mzoefu wa Kushindwa

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Bashiru Ally, amesema chama chake hakitishwi na kitendo cha mwanasiasa Maalim Seif Hamad...

READ MORE

Ifahamu Safari ya Lissu Kurejea Tanzania

LICHA ya Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu kutangaza tarehe ya kurudi Bongo, baadhi ya wachambuzi wa mambo ya kisiasa...

READ MORE

Anunua Barakoa ya Dhahabu Kujikinga na Corona

MWANAUME mmoja nchini India ametumia Sh milioni 8.6 kununua barakoa ya dhahabu ili kujikinga dhidi ya virusi vya Corona. Barakoa...

READ MORE

Kina Samatta Mikononi Mwa Man United Leo

MANCHESTER United inaweza ikachochea vita ya nafasi ya nne leo Alhamisi pale itakapoivaa timu inayopambania kubaki Ligi Kuu ya England...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Amani kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la SpotiXtra na Gazeti la Amani kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Makonda Ampokea DC Gondwe, Ampa Maelekezo – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amempokea mkuu mpya wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe, na kumpa...

READ MORE

Niyonzima Ashusha Presha Yanga SC

AKIUKOSA mchezo wa jana Jumatano wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, kiungo mchezeshaji fundi wa Yanga raia wa...

READ MORE