×

Mwanasayansi Mbaroni kwa Kupotosha ‘Pilipili Kichaa ni Dawa ya Corona’

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Ibrahim Peter (26) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Gambo Agawa Bure Sukari Iliyokamatwa Namanga – Video

MKUUwa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amegawa bure sukari kiasi cha kilo 5,000 iliyokamatwa katika mpaka wa Namanga unaotenganisha Tanzania...

READ MORE

Corona Yamkimbiza Sanchi Mjini

MWANAMITINDO anaye-tingisha kwa umbo lake matata Bongo, Jane Rimoy ‘Sanchi’ ameamua kukimbilia kwa bibi yake, Marangu mkoani Kilimanjaro kutokana na...

READ MORE

Wakili Msando: Corona Hali ni Mbaya, Semeni Ukweli – Video

WAKILI maarufu wa kujitegemea, Alberto Msando, ametoa msaada wa barakoa 100 pamoja na vitakasa mikono 100 kwa waandishi wa habari...

READ MORE

Waliopandisha Bei ya Sukari Waiona Shughuli ya DC Sabaya – Video

  Ikiwa ni siku chache zimepita tangu serikali kutangaza Bei elekezi ya Sukari kwa kila mkoa bado Baadhi ya Wafanyabiashara...

READ MORE

Niyonzima Aoa Kimyakimya Mke Wa Pili

KIUNGO wa klabu ya Yanga, Haruna Niyonzima,  ameoa mke wa pili aitwaye Niyonkuru Console ‘Cassandra Rayan’. Ndoa hiyo imefungwa  bila...

READ MORE

Corona: Ndege za Abiria za ATCL Kubeba Mizigo

KATIKA kukabiliana na changamoto za kibiashara zinazosababishwa na mlipuko wa virusi vya corona, Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) inatarajia...

READ MORE

Wagonjwa wa Corona Kenya Wafikia 374

WIZARA ya Afya Kenya imesema wagonjwa wengine 11 wa corona wameongezeka jana na kufanya jumla ya visa vya corona kufikia...

READ MORE

Moro: Kisa Dalili za Corona, Mazishi ya Naibu Meya Yasitishwa

MAZIKO ya aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro na diwani wa Kata ya Kiwanja cha Ndege, Isihaha Sengo, yamesitishwa...

READ MORE

Nafasi za Kazi Global Development Incubator– Country Representative

Country Representative, Tanzania TBD, Tanzania, United Republic of Contract Company Description Aceli Africa is a market-enabling facility to mobilize over...

READ MORE

Lyyn Adaiwa Kufuata Nyayo za Mobeto kwa Kiba

JUZIKATI f’lani hivi, huyu video vixen na msanii wa Bongo Fleva, Irene Louis ‘Lyyn’ aliibua stori nyingi kama kawaida yake....

READ MORE

Recho: Ni Mungu Tu Amenisimamia

WINFRIDA Josephat Mbonimpa maarufu kwa jina la Recho Kizunguzungu, ni kipaji kikubwa mno cha Bongo Fleva na Bongo Movies. Kipaji...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Aprili 29, 2020 – Video

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo April 29, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

Utamu Usioisha Hamu – 6

   ILIPOISHIA IJUMAA… “Madenge nina hamu sana leo, mkeo kama hayupo njoo mara moja chumbani kwangu, nimezidiwa sana please…” “Mmh!...

READ MORE

Sifa za Mwenza Mzuri Maishani

HAKIKA Mungu ni mwema na anaendelea kutupigania kwenye kipindi hiki kigumu cha gonjwa hili la COVID-19. Anatukinga na anatulinda, hivyo...

READ MORE

Tatuu ya Lulu Diva Hatari Tupu

MCHORO wa mwilini (tatuu) ya sexy lady kunako Bongo Flevani, Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ ni hatari tupu na imekuwa gumzo...

READ MORE

Lyyn wa Mondi Ashinda Ofisini Kwa Kiba

HIVI karibuni zimesambaa tetesi mitandaoni kuwa msanii chipukizi wa Bongo Fleva, Irene Louis ‘Lyyn’ ameshinda ofisini kwa staa wa muziki...

READ MORE

Mhandisi wa maji Ajinyonga, Serikali Kusimamia Mzishi Yake

MKUU wa wilaya ya Mbozi mkoani Songwe, John Palingo (55) amesema kuwa Serikali itasimamia taratibu za mazishi ya mtumishi wa...

READ MORE

Trump Aitishia China Kulipa FIDIA Kisa Corona

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema huenda nchi hiyo ikaitaka China kuilipa fidia kutokana na janga la maambukizi ya Corona...

READ MORE

Mbaroni kwa Kusema ‘Nguo za Marehemu wa Corona China Zinaletwa Afrika’

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia JOYCE KEPHAS AKYOO MANKA (31) mfanyabiashara na mkazi wa Stereo, Jijini Mbeya kwa...

READ MORE