×

Corona: Wagonjwa Waongezeke? Mna Kikao na Mungu? – Mwigulu

MBUNGE wa Iramba (CCM), Dkt. Mwigulu Nchemba ameishauri serikali kuacha kutangaza visa vipya vya wagonjwa wanaogundulika kuwa #CoronaVirus, badala yake...

READ MORE

Maambukizi Corona Yafikia 53, JPM Asitisha Sherehe za Muungano

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya...

READ MORE

Ukweli Pete ya uchumba ya Nandy

BAADA ya utata kuibuka kutokana na mwanamuziki William Lyimo ‘Billnass’ kumvisha pete ya uchumba, mpenzi wake ambaye pia ni mwanamuziki...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Risasi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la CHAMPIONI na Gazeti la Risasi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani ya nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumatano, Aprili 15, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo April 15, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

Ufaransa: Afrika Isamehewe Madeni Yote, Ikabiliane na Corona

Ufaransa na Ulaya wanatarajia kusaidia Afrika kupambana dhidi ya ugonjwa hatari wa Covid-19 kwa “kuifutia kabisa madeni yake,” Rais wa...

READ MORE

Huku Corona! Sudan Kusini Yakumbwa na Homa ya Manjano

Shirika la Afya Dunia (WHO) limetangaza mlipuko wa ugonjwa wa Homa ya Manjano, Kusini mwa Sudan Kusini, katika eneo la...

READ MORE

Lwakatare Aaga Rasmi Bungeni: “Sigombei Tena” – Video

MBUNGE wa Bukoba Mjini, Wilfred Lwakatare (Chadema) ameaga rasmi bungeni kuwa katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika baadaye mwaka huu 20202...

READ MORE

Sakata la Ubaguzi, Mabalozi wa Afrika Wakutana na Serikali ya China

MABALOZI wa Nchi za Afrika wamekutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje China, Chen Xiaoding kuzungumzia changamoto zinazowakabili baadhi...

READ MORE

PM Majaliwa Apokea Msaada wa Tsh 500M Kukabiliana na Corona

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amepokea hundi ya mfano ya sh. milioni 500 kutoka kampuni ya Export Trading Group (ETG) zikiwa...

READ MORE

Uchaguzi Mkuu: Sanders Amkabidhi Rungu Biden Kumvaa Trump

Seneta wa jimbo la Vermont la Marekani, Bernie Sanders, Jumatatu alimuidhinisha aliyekuwa makamu wa rais Joe Biden kuwa mgombea wa...

READ MORE

Bob Haisa aibuka na Mazito

  UNAPOZUNGUMZIA muziki wa Rhumba au Zuku, huwezi kuacha kulitaja jina la Bob Haisa. Ni miongoni mwa wanamuziki wakongwe Bongo...

READ MORE

Polisi Akutwa Kwenye Mtaro Akiwa Amefariki Dunia

POLISI katika kituo kidogo cha KIA Hai, Kilimanjaro, Sajent Juma Ango, anadaiwa kuuawa na watu wasiojulikana na mwili wake kutupwa...

READ MORE

Marufuku ya Usafiri Kisa Corona, Mgonjwa Akiwahishwa Hospitali

MWANAMME mmoja akiwa anasukuma usafiri wa asili ili kumuwaisha hospitali mgonjwa katika Manispaa ya Arua, Uganda.   Mwanamke huyo mgonjwa...

READ MORE

Kumekucha! Zitto, Mdee, Mnyika, Kubenea Upinzani Mkali 2020

JOTO la uchaguzi ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), limeanza kupanda baada ya wagombea zaidi ya 72 kujitokeza...

READ MORE

#Corona: Uturuki Yapitisha Sheria Kuwaachia Wafungwa 100,00

BUNGE la nchi hiyo limepitisha sheria inayotoa kibali cha kuwaachia Wafungwa 100,000 kama mojawapo wa njia za kupambana na maambukizi...

READ MORE

Maelfu Waanza Kurejea Kazini Hispania

MAELFU ya watu nchini Hispania leo hii wameruhusiwa kurejea kazini, ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuibuka kwa mlipuko wa...

READ MORE

Alichokisema Lulu kuhusu Mtoto wa Mobeto

BAADA ya kushambuliwa kwa kutomposti mtoto wa mpenzi wake, Francis Ciza ‘Majizo’ aliyezaa na mwanamitindo Hamisa Mobeto aitwaye Baby Fansy,...

READ MORE

GSM kuzibomoa Mamelodi, Enyimba na Etoile Du Sahel

HATIMAYE uongozi wa Yanga ukishirikiana na mdhamini wa timu hiyo, GSM, umezitaja timu za Afrika ambazo wataenda kufanya usajili wa...

READ MORE