MOSHI: Mwili wa marehemu mzee Philemon Ndesamburo umeagwa leo mchana katika Viwanja vya Majengo, vilivyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kisha kusafirishwa kwenda nyumbani kwake Mbokomu, Moshi Vijijini ambako atazikwa kesho.
MOSHI: Mwili wa marehemu mzee Philemon Ndesamburo umeagwa leo mchana katika Viwanja vya Majengo, vilivyopo Moshi mkoani Kilimanjaro kisha kusafirishwa kwenda nyumbani kwake Mbokomu, Moshi Vijijini ambako atazikwa kesho.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.