RAIS MAGUFULI AMJULIA HALI DADA YAKE ALIYELAZWA BUGANDO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimjulia hali Dada yake Monica Joseph Magufuli ambaye amelazwa katika Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika hospitali ya Bugando mkoani Mwanza.
Comments are closed.