Rais Magufuli Kukutana na viongozi wa TUCTA Leo
Rais Magufuli leo atakutana na viongozi wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUCTA), vyama shiriki, Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (PSSSF & NSSF) na Mamlaka ya Usimamizi wa Hifadhi ya Jamii (SSRA) asubuhi hii, Ikulu Jijini Dar es Salaam. Matangazo yatarushwa na vituo vya Redio, Televisheni na mitandao. Watajadili Mafao ya wafanyakazi hususanani KIKOKOTOO.
Comments are closed.