RAIS MAGUFULI NA MKEWE WASHIRIKI MISA PAROKIA YA OYSTERBAY – VIDEO
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Janeth Magufuli leo Jumapili, Agosti 8, 2019 wameungana na Waumini wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay jijini Dar es Salaam kushiriki Misa Takatifu Dominika ya 18 ya Mwaka “C.
Comments are closed.