Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe, Emmerson Dambudzo Mnangagwa amemaliza ziara yake rasmi ya kiserikali ya siku mbili nchini Tanzania leo Ijumaa, Juni 29, 2018.
Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam ameagwa na mwenyeji wake, Rais Dkt. John Pombe Magufuli.
Comments are closed.