Rais Samia Akutana Na Timu Ya Taifa Ya Walemavu Ikulu, Dar (Picha +Video)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Desemba 7, 2021 amekutana na Viongozi na wachezaji wa Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu, kufuatia kufuzu kushiriki katika Kombe la Dunia kwa Watu wenye Ulemavu 2022 nchini Uturuki. Hafla hiyo iliyoambatana na chakula cha mchana imefanyika leo tarehe 07 Desemba, 2021 katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx