Rais Samia Awaapisha Viongozi Wateule Atoa Maagizo Mazito Ikulu, Dar – Video
Rais Samia Suluhu Hassan amesema kuwa yeye hana kundi, bali anafanya kazi na kuwaongoza wotanzania wote kwa usawa na ndivyo alivyowataka wakuu wa mikoa wakafanye kazi kwa usawa kama yeye anavyofanya.
Rais Samia ameyasema hayo mara baada ya kuwaapisha baadhi ya viongozi aliyowateua siku chache zilizopita Ikulu jijini Dar es Salaam leo Machi 13, 2024.