Rais Samia Awasili Kenya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Jijini Nairobi nchini Kenya Aprili 28, 2024 kwa ajili ya kushiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika wenye lengo la kuainisha vipaumbele vya Nchi hizo ili viweze kuzingatiwa kwenye mzunguko wa 21 wa IDA
WAZIRI SILAA AFIKA GEREZANI KUTATUA MGOGORO WA MIPAKA- ”RAIS SAMIA AMENITUMA NIWAHUDUMIE WANANCHI”