Raisi Magufuli Arudisha Wanyama Pori Ikulu – Video
Rais Dkt. John Magufuli amerejesha wanyamapori katika bustani za Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Wanyama waliopo katika bustani ni Pundamilia, Pofu,Swala, Digidigi, Tausi, Mbuni, Tumbili, Kanga, Batamaji na wengine. Wanyamapori hao walifugwa wakati wa Uongozi wa Hayati Mwl. Julius Nyerere.