The House of Favourite Newspapers

Send-Off: Usiku wa MC Pilipili na Qute Mena Watikisa

MSANII maarufu wa vichekesho Tanzania, Emmanuel Mathias ‘MC Pilipili’ ametikisa kwenye Send-Off ya mchumba wake, Neema Max ‘Qute Mena’ iliyofanyika usiku wa kuamkia leo kwenye Ukumbia wa Mbezi Garden Hall jijini Dar es Salaam.

Sherehe hiyo iliyotanguliwa kwa post za mapichapicha kibao kwenye mtandao wa Instagram kwa wiki nzima, imehudhuriwa na mastaa kibao pamoja na marafiki wa MC Pilipili kutoka nje ya Tanzania.

Harusi ya wawili hao ambayo imepewa jina la Harusi ya Taifa ama Royal Pilipili Wedding inatarajiwa kufanyika Jumapili hii, Juni 30, 2019 kuanzia majira ya saa 10:00 jioni.

Kama kawaida yake, MC pilipili huwa haishiwi vituko na ndicho alikuwa akikifanya usiku wa jana kwenye Send-Off ya baby wake.

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

 

View this post on Instagram

 

A post shared by Global Publishers (@globalpublishers) on

Comments are closed.