The House of Favourite Newspapers

Serikali Yatoa Tamko Mazishi Usiku

0

 

Wizara ya Afya, Maendeleo Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema hakuna haja ya maiti iliyofariki kwa Ugonjwa wowote ule kuzikwa gizani, na kuwaagiza Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya kuzishirikisha familia na kufuata taratibu zote za utu.

 

 

Leave A Reply