Singida United Yamsajili Fei Toto Nyota wa JKU
TIMU ya Singida United leo imetangaza kumsajili mchezaji nyota wa timu ya JKU, Feisal Salum Abdallah, maarufu kwa jina la Fei Toto, kwa mkataba wa miaka mitatu baada ya kukubaliana na JKU.
Singida United imekubaliana na JKU kufidia malipo ya mkataba wa miaka miwili uliokuwa umesalia kati ya Fei Toto na JKU, hivyo Singida imemtambulisha rasmi mchezaji huyo kama mchezaji wao rasmi.
Comments are closed.