Skylight yapagawisha mashabiki Maisha Basement
Waimbaji wa Skylight Band wakipagawisha mashabiki waliojitokeza ukumbi wa Maisha Basement uliopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia leo.
Muimbaji Sone Massamba (katikati), akiongoza burudani ya kuwafurahisha mashabiki wake.
Waimbaji wa Skylight Band wakiimba kwa hisia kali.
Badhi ya mashabiki wa bendi hiyo wakicheza kwa staili ya pamoja.
Sone Massamba akiwaonyesha mashabiki staili ya kucheza moja ya nyimbo zaa bendi hiyo.
Mashabiki wakijaribu kuiga staili walizoonyeshwa.
Wakionyesha uelewa baada ya kufundishwa kucheza.
Habari/Picha: Musa Mateja/GPL.