The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

dodoma

Bunge la Bajeti Kuanza Leo Dodoma

Mkutano wa Tatu wa Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaanza leo jijini Dodoma. Pamoja na mambo.mengine, mkutano huo utajadili na kupitisha bajeti za wizara mbalimbali pamoja na bajeti kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha wa…

Spika Ndugai Aanika Kamati za Bunge

Spika wa Bunge, Job Ndugai juana Januari 18 amefanya utuezi wa wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge 17. Taarifa iliyopatika tovuti ya Bunge imesema Spika amechukua hatua hiyo kwa mujibu wa ibara ya 96 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano…

Ndugai: Tutaendelea Kuwatambua Wabunge Walioapishwa

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, amesema, Bunge litaendelea kuwatambua wabunge wote walioapishwa wakiwemo 20 kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) 19 wa Viti Maalum na mmoja aliyeshinda katika uchaguzi mkuu.…

Wanawake wa Shoka Upinzani Karibuni CCM-Dkt. Bashiru

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi, Dkt. Bashiru Ally  amewakaribisha wanawake kutoka vyama vya upinzania kujiunga na CCM kwa kile alichodai kuwa milango iko wazi kupokea wanawake wapambanaji na wenye nia ya kulitumikia taifa. …