The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Donald Ngoma.

Tambwe Afunguka Kulogwa na Ngoma

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe ndiye mchezaji anayetajwa kuwa bingwa wa kufunga mabao ya vichwa katika Ligi Kuu Bara. Hali hiyo ni kutokana na umahiri wake mkubwa wa kuzifumania nyavu. Tangu atue hapa nchini…

Ngoma Fresh Azam, Chirwa Bado

AZAM FC imetangaza kumuongeza mkataba mshambuliaji wake, Donald Ngoma huku wakiwa bado kwenye mazungumzo na Obrey Chirwa ambaye inadaiwa amekuwa akisumbuasumbua kusaini. Ngoma alijiunga na Azam FC mwanzoni mwa msimu huu…

Ngoma: Nitaipa Ubingwa Azam

STRAIKA ambaye anarudi kwenye makali yake, Donald Ngoma wa Azam FC ameweka wazi kuwa lengo lake ndani ya kikosi hicho ni kuipambania na kuipatia timu hiyo ubingwa wa ligi kuu kwa msimu huu. Ngoma ambaye alikuwa nje ya…

Yanga Yaanda Kamati Ya Kumtema Ngoma

YANGA ni kama wameshtukia janja ya mshambuliaji wao Mzimbabwe, Donald Ngoma na kumtaka daktari mkuu wa timu hiyo, Edward Bavu kumpeleka hospitali kwa ajili ya vipimo huku mabosi wakisubiria ripoti yake ili kuchukua maamuzi magumu ya…

Matola: Yanga Hawana Plani B

BAADA ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Yanga, Kocha wa Lipuli FC, Selemani Matola amewazungumzia wapinzani wao hao kwa kusema kuwa hata kama mchezo wao ungekuwa wa dakika 200 kamwe wasingefungwa na Yanga. Timu hizo zilikutana katika Ligi…

NGOMA YUPO FITI 100% ATUMA SALAMU

STRAIKA wa Yanga, Donald Ngoma ametuma salamu kwa mashabiki wa timu hiyo akisema kuwa yupo fiti asilimia 100 na Jumanne ya wiki ijayo atatua nchini. Ngoma raia wa Zimbabwe, alikuwa nje ya uwanja kwa muda wa miezi minne akiuguza majeraha…

Ngoma arudi kutibiwa Sauz

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mzimbabwe, Donald Ngoma, atachelewa kujiunga na timu hiyo baada ya madaktari kumhitaji kwa ajili ya kumfanyia vipimo vya mwisho kwenye goti lake. Mzimbabwe huyo, hivi karibuni aliongeza mkataba wa miaka miwili…

Yanga Yaifunika Simba

KWA mara nyingine Yanga imeifunika Simba kwa gharama za mishahara kwa wachezaji wake wa kikosi cha kwanza ambao wamesajiliwa hadi sasa. Ukijumuisha wachezaji wapya na wale wa zamani, kikosi cha kwanza cha Yanga kitalipa mshahara wa…

Simba Yahamia kwa Ngoma

UNDAVA undava tu kwani Simba baada ya kuchukuliwa mchezaji wake Ibrahim Ajibu na Yanga, nayo inapambana kuhakikisha inamsajili straika Donald Ngoma wa Yanga. Ngoma ni kama Ajibu kwani naye anaelekea ukingoni kumaliza mkataba wake na…

Ngoma abeba rekodi bab’kubwa Misri

Wachezaji wa Yanga wakishangilia na straika, Donald Ngoma (wa kwanza kushoto). Abdallah Zalala, Pwani na Nicodemus Jonas LICHA ya Yanga kufungwa mabao 2-1 na Al Ahly ya Misri kisha kutolewa katika Ligi ya Mabingwa Afrika juzi…

Donald Ngoma atoweka Yanga

Donald Ngoma. Martha Mboma, Dar es Salaam WAKATI kikosi cha Yanga kikianza mazoezi rasmi jana Alhamisi kikiwa na wachezaji sita, mshambuliaji wa timu hiyo, Mzimbabwe, Donald Ngoma ameshindwa kuungana na timu hiyo kwa wakati huku kukiwa…