Pluijm: Ajibu, Okwi Watachafua Uhuru
KOCHA wa Singida United, Hans van Der Pluijm amesema ubora wa washambuliaji, Ibrahim Ajibu wa Yanga na Emmanuel Okwi wa Simba unaweza kufanya jambo lolote lisilotegemewa katika mchezo wa leo.
Ajibu anaongoza kwa kufunga…
