The House of Favourite Newspapers
Browsing Tag

Mimba kuchoropoka

Sababu 10 Maumivu ya Tumbo kwa Mjamzito

WAJAWAZITO wengi huugua wakati wakiwa na ujauzito. Zipo Sababu zinazofanya kutokea kwa maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya mimba. Kuna matatizo mengi ambayo yanahusiana tu na mimba, hata hivyo ni muhimu kukumbuka…

Uvimbe wa Kizazi ‘Uterine Fibroids’

VIMBE wa Fibroid pia unajulikana kwa majina kama Leiomyoma, Myomas na Fibromyomas. Uvimbe huu siyo kansa na mara chache sana unaweza kuwa kansa, unachipuka au kuota kutoka katika misuli laini ya kizazi. Fibroid husababisha mwanamke…

Mimba kuchoropoka (Miscarriage-2)

Mpenzi msomaji, leo naendelea kuelezea tatizo la mimba kuchoropoka ili uzidi kuelimika.Dalili kubwa za Miscarriage ni mama mjamzito kutokwa na damu (nzito au nyepesi) sehemu za siri kwa vipindi au mfululizo. Damu hizi hutoka kama zile…