×

Tag: ugonjwa

Celine Dion Apatwa Ugonjwa Usiotibika, Atuma Salamu kwa Mashabiki Wake

WALE wahenga au tuwaite vijana wa zamani ukiwatajia jina la Celine Dion baadhi yao wanaweza kutokwa na machozi wakikumbuka walikuwa...

READ MORE

Unasumbuliwa na Maradhi Sugu? Soma Hapa

  TUTUMIE TANGAZO LA BIASHARA YAKO TUKUTANGAZIA BURE KUPITIA #GULIO TUTUMIE HABARI, MAKALA YAKO TUTAKUPOSTIA BURE KUPITIA #JAMVINI EMAIL: [email protected]...

READ MORE

Taharuki Jose Chameleone Kuzidiwa, Mkewe Aanika Ukweli

MKE wa msanii mkongwe Afrika Mashariki, Jose Chameleone, Daniella Atim amewajia juu watu waliosambaza picha za mumewe wakati akipatiwa matibabu...

READ MORE

Sakata Ugonjwa Usiojulikana, Mganga Mkuu Chunya Yamkuta

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt Dorothy Gwajima, ameagiza kusimamishwa kazi Mganga Mkuu wa Halmashauri...

READ MORE

Niokoeni Nakufa Najiona

DAR: NI mateso na maumivu makali anayopitia Amina Mohamedi Mwiru (32) mkazi wa Mbagala Kiburugwa ambaye amepatwa na tatizo la...

READ MORE

‘Nimevimba Tumbo Kimaajabu, Sili Chochote, Silali… Nisaidieni’ – Video

GLOBAL TV Online inakukutanisha na Amina Mohamed (32) ambaye amevimba tumbo baada ya kujifungua mtoto wake wa mwisho huku chanzo...

READ MORE

Maajabu! Aishi na Wadudu Ndani ya Mguu “Usiku Silali” – Video

Ni maajabu unaweza kusema, baba mmoja mwenye umri wa miaka 40 mkazi wa Mburahati Jijini Dar es salaam, amekuwa akipitia...

READ MORE

Akitema Mate Sakafu Inachubuka, Ndani Miaka 3 – Video

ANNA Majaliwa, mkazi wa Tabata jijiji Dar es Salaam, ni mama wa watoto watatu ambaye yupo ndani tangu 2017 kutokana...

READ MORE

Ugonjwa wa Ajabu Wamtesa Miaka 10 ‘Mnisaidie’ – Video

  Miongoni mwa vitu ambavyo jamii haifahamu ni kuwa kuna wimbi la watu mtaani wanaoishi kwenye mazingira magumu wakikabiliwa na...

READ MORE

Aliyekatwa Ulimi Arudi Kutoka India, Hali Yake Bado Tete – Video

Hali ya Salim ambaye anasumbuliwa na kansa ya ulimi na koo hali iliyopelekea kukatwa ulimi wake, amerejea nchini akitokea India...

READ MORE

Kijana Amwaga Machozi “Nimevimba Mguu Kimaajabu” – Video

Kijana Goodluck Franck Minja mwenye umri wa miaka 18 anapitia maumivu makali baada ya kutokea kwa uvimbe mkubwa katika mguu...

READ MORE

Rais Moi Arudishwa Tena Hospitali

Rais wa Zamani wa Kenya, Daniel Toroitich Arap Moi  amelazwa tena kwenye Chumba cha Uangalizi Maalum (ICU) katika Hospitali ya...

READ MORE

Yatima Huyu Anahitaji Milioni 200 Kuokoa Maisha Yake – Video

  KIJANA Constantine Nguma (17) mkazi wa Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam mwenye gonjwa zito la ‘Aplastic Anemia’  tiba...

READ MORE

Mwanamke Anaeishi na Magonjwa Makubwa Matatu, Asimulia – Video

NI mwanamke jasiri, shupavu na shujaa anayepambana na maisha, anajishughulisha huku na kule kuhakikisha familia yake inaishi vizuri na jamii...

READ MORE

Dunia Haina Huruma… Anayepumulia Mashine Afanyiwa Kitu Mbaya

DAR ES SALAAM: DUNIA Haina Huruma! Mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Bahati Bukuku alipata kuimba wimbo huo, ambao unasadifu...

READ MORE

GGM, TACAIDS Waanzisha Vituo vya Huduma za VVU na Ukimwi

TUME ya Kudhibiti Ukimwi nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM) imefanikiwa kuanzisha vituo vinne vya utoaji...

READ MORE

Mateso ya Mtoto Huyu… Mungu Tenda Muujiza!

MUNGU tenda muujiza juu ya mtoto huyu! Ndiyo maneno pekee yanayoweza kukutoka baada ya kusoma mateso anayopitia mtoto huyu huku...

READ MORE

BINTI ATESEKA MIAKA 6 KITANDANI – VIDEO

MATESO gani haya? Ndivyo unavyoweza kusema ukisikia mateso na maumivu makali ya miaka sita aliyopitia mwanamke Adelina Peter (26), mkazi...

READ MORE

MAMA AMLILIA MUNGU, “NIMEVIMBA TUMBO, SIONI, MOYO UNANITESA” – VIDEO

Bi. Selina Izack, mkazi wa Bunju A, Mtaa wa Baharia, mama anaesumbuliwa na tatizo la moyo, kisukari na vidonda vya...

READ MORE

Makonda Amtmbelea Mtoto Hamis, Muhimbili, Amshushia Maombi – Video

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Machi 15, 2019 amemtembelea na kumjulia hali mtoto Hamisi ambaye...

READ MORE

KIJANA: NAKUFA NA JIONA AELEZA ANAVYOTESEKA, INAUMA SANA

KIJANA Lusubilo Sinunu (18), mkazi wa Kata ya Kisegese-Busokelo Wilaya ya Rungwe mkoani hapa ametamka maneno mawili; “Ninakufa ninajiona.”  Lusubilo alitoa...

READ MORE

Ee! Mungu wangu!

EEE Mungu wangu! Hutaacha kusema hivyo ukifanikiwa kumuona Nezia Maregesi, mkazi wa Majita mkoani Mara ambaye ana uvimbe mguuni wenye...

READ MORE

SIMULIZI YA FAMILIA HII INAUMA!

FAMILIA nyingi nchini huwa zinapata shida mbalimbali lakini simulizi ya familia hii ukiisikia, inauma sana. Ni kwamba msichana Hadija Abduli...

READ MORE

NISAIDIENI NIKATWE MGUU

DAR ES SALAAM: NI mtihani mzito! Peter Stewart (31), mkazi wa Ubungo – Maziwa, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye...

READ MORE

Hawa: Diamond Mungu Atakulipa

MSANII wa muziki ambaye aliwahi kuwa mwandani wa Mbongo- Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Hawa Mayoka ‘Hawa wa Nitarejea’ amemfungukia...

READ MORE

KISA UGONJWA WA MWANAYE… MAMA WEMA AMWAGA MATUSI

MIRIAM Sepetu ambaye ni mama mzazi wa staa wa filamu Bongo, Wema Sepetu juzikati amejivunjia heshima ya kuitwa mama baada...

READ MORE

Meneja Apata Kigugumizi Afya ya Wema

DAR ES SALAAM: SIKU chache baada ya video inayomuonesha ‘sweetheart wa Tanzania’ Wema Sepetu akiwa hospitali kusambaa mitandaoni na kuzua...

READ MORE

Mke wa Mwarabu Fighter Ajichoma na Chupa! – Video

IKIWA ni siku chache tangu kupata ajali kwa Baunsa wa Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Mwarabu Fighter ambaye tayari amesharuhusiwa kurudi...

READ MORE

Mzee Majuto Arejea Kutoka India, Apelekwa Muhimbili – Video

MUIGIZAJI nguli nchini Tanzania, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto amewasili nchini na kutua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa...

READ MORE

MBOWE ARUHUSIWA KUTOKA HOSPITALI

IKIWA ni takribani saa 24 tangu alazwe katika Hospitali ya Taifa Kitenngo cha Dharula, Afya ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman...

READ MORE

MAUMIVU WANAYOPATA WATOTO HAWA… NI ZAIDI YA MATESO

WATOTO wawili wanaogua maradhi tofauti wapo katika mateso makubwa na wanahitaji msaada wa wasamaria wema ili waweze kupona. Mtoto Mudasili...

READ MORE

Ugonjwa wa Saratani ya Shingo ya Kizazi na Namna ya Kujikinga

SARATANI ya shingo ya kizazi ni aina ya saratani ambayo hushambulia sehemu ya viungo vya uzazi vya mwanamke inayounganisha kati...

READ MORE

“JPM Nisaidie, Nasubiri Kifo Tu!” – Mama Shimeda (Pichaz + Video)

  DAR ES SALAAM: MKAZI wa Kibamba Kwembe Jijini Dar, Beatrice Shimeda (54) analia na mateso ya mguu wake tangu...

READ MORE

Tahadhari Kuhusu Homa ya Chikungunya, Hakuna Tiba Mahusi Wala Kinga

Serikali kupitia Wizara ya Afya imeutahadharisha umma kuhusu ugonjwa wa Homa ya Chikungunya ambao huambukizwa na mbu aina ya aedes...

READ MORE

Ee Mungu, Mponye Kijana Huyu Anateseka!

  AMA kweli hujafa hujaumbika! Kijana Adam Mwangoka (21), mkazi wa Arusha, amepatwa na gonjwa la ajabu la macho yake...

READ MORE

Tumuombeeni Mzee Majuto!

Stori: Brighton Masalu | IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Tumuombeeni! Lejendari wa vichekesho Bongo, Amri Athman ‘Mzee Majuto’ yu taaban...

READ MORE

Homa ya Matumbo kwa Mtoto

UGONJWA wa homa ya matumbo kwa watoto, ni wa kawaida kwa watoto kutokana na aina ya michezo na uchafu wanaokula,...

READ MORE