Hatimaye vigogo 11 wa Kampuni ya Reli (TRL) waliosimamishwa kazi hapo awali wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishtakiwa na makosa tisa yakiwemo matumizi mabaya ya madaraka yaliyopelekea manunuzi ya mabehewa mabovu 25 kinyume na utaratibu.
Hatimaye vigogo 11 wa Kampuni ya Reli (TRL) waliosimamishwa kazi hapo awali wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishtakiwa na makosa tisa yakiwemo matumizi mabaya ya madaraka yaliyopelekea manunuzi ya mabehewa mabovu 25 kinyume na utaratibu.