The House of Favourite Newspapers

Tanesco Yatangaza kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa

0

Shirika la Umeme (Tanesco) limetangaza taarifa ya kuunganisha Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere kwenye gridi ya taifa, hatua itakayosababisha kukatikakatika kwa umeme kwa muda wa siku 10 kupisha maboresho hayo.

AZAM MEDIA YAVUNJA UKIMYA TUHUMA ya RUSHWA ILIYOTOLEWA na MWIGIZAJI SHIJA -YATOA TAMKO HILI ZITO

Leave A Reply