Mwandishi wa habari wa Azam Media mkoa wa Kagera, Nicolaus Ngaiza amefariki dunia saa nne usiku jana Jumapili badaa ya kupata ajali ya gari kugongana na lori, wilayani Muleba mkoani humo wakati akitoka wilayani Biharamulo kikazi.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.