MBUNGE wa Mpendae – Zanzibar, Salim Turky (CCM) leo Alhamisi, Septemba 14 amefafanua kuhusu ukweli wa ndege iliyomsafirisha Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (Chadema) kutoka Dodoma mpaka Nairobi Kenya anakoendelea na matibabu baada ya kupigwa risasi na kujeruhiwa na watu wasiojulikana wiki iliyopita nyumbani kwake.
Spika Ndugai Amjibu Lema Kuhusu Bunge na Serikali Kutomsaidia Lissu
Mbali na maelezo hayo, mbunge huyo ametoa ufafanuzi kwamba hadi sasa, Chadema wameshakamilisha malipo ya deni la ndege hiyo.