Video: Ally Mayai Aibuka Baada Ya Kuenguliwa Urais TFF
MCHEZAJI Mstaafu na mdau wa Soka, Ally Mayai, ambaye pia alitia nia ya kugombea Urais TFF ambapo jina lake halikukidhi vigezo hivyo kukatwa amezungumza na waandishi wa habari leo Juni 17 akieelezea kilichotokea… ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx