Video: Lipumba Afunguka Mazito Hukumu ya Mbowe, Uchaguzi Mkuu
MWENYEKITI wa chama cha wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba, leo Machi 14, ametembelea ofisi za Global Group zilizopo Sinza na kufanya mahojioano katika redio yetu ya mtandaoni ya +255 Global Radio, ambapo amezungumzia masuala mbalimbali yahusuyo siasa nchini.