VIDEO: Mashindano ya Qur An Tukufu kutoka Dar es salaam
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, leo Mei 26, amehudhuria katika Fainali za tuzo za kimataifa za kuhifadhi Quraan Tukufu Tanzania kwa mara ya 27, zinazofanyika katika ukumbi wa Diamond Jubilee… Fainali hizo zimehudhuriwa pia na Waziri wa Ulinzi, Dkt Hussein Mwinyi, Makamu wa Rais Mstaafu, Gharib Bilali na Shehe Mkuu wa mkoa wa Dar, Alhad Mussa Salim.
Comments are closed.