Rais Samia Ashiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Ubunifu wa Afya Duniani- Qatar – (Picha +Video)
Rais ameungana na viongozi wengine duniani kushiriki ufunguzi wa Mkutano wa World Innovation Summit for Health 2022 unaofanyika Multaqa Centre – Doha nchini Qatar.