Vodacom Tanzania PLC yadhamini mafunzo ya Women in Data Science Dar es Salaam 2020
Meneja Rasilimali watu na Maendeleo wa Vodacom Tanzania PLC, Naiman Moshi akiongea na wahitimu wa mafunzo ya ubunifu wa Website “ Women in Data Science Dar es Salaam 2020″ yaliyoandaliwa na Tanzania Data Lab kwa udhamini wa Vodacom Tanzania PLC kupitia programu yake ya Code like a girl yaliyowashirikisha wanafunzi wa kike jijini Dar es Salaam.
Naiman Moshi akibidhi zawadi ya begi kwa Shamimu Mbaga ambaye ni mkuu wa kundi la Mwalimu Careers Campany akiwa na wenzake mara baada ya kuibuka washindi wa kwanza katika mafunzo ya ubunifu wa Website