The House of Favourite Newspapers

Vyakula vinavyosaidia kukukinga na mafua-2

0

MACHUNGWA, PILIPILI KALI
Utafiti unaonesha kwamba, ulaji wa vyakula vyenye Vitamin C kwa wingi kila siku husaidia kuondoa au kuzuia ugonjwa wa mafua.

Machungwa ni miongoni mwa vyakula vyenye kiwango kikubwa cha Vitamin C. Pamoja na machungwa, mboga za majani aina ya brokoli na pilipili kali.
Ili kupata kiasi kingi cha Vitamin C, inashauriwa machungwa yaliwe   pamoja na nyama zake za ndani au  kunywa juisi yake.

ASALI
Kama inavyojulikana, asali ni tiba ya  matatizo mengi ya kiafya, miongoni  mwa hayo ni pamoja na mafua.
Asali inasaidia kuondoa kikohozi na muwasho kwenye koo. Halikadhalika unaweza kuitumia kama kinga kwa kulamba kila siku kijiko kimoja kikubwa inasaidia kukuimarisha kiafya.

MTINDI
Kutokana na kiwango kikubwa cha protini  iliyonacho, mtindi unafaa sana kwa mtu anayesumbuliwa na mafua pamoja na kikohozi.

SOCIAL MEDIA ZETU:

KWA HABARI ZA KITAIFA, KIMATAIFA, MASTAA NA MIKASA YA KUSISIMUA

INSTAGRAM: @Globalpublishers

TWITTER: @GlobalHabari

FACEBOOK: @GlobalPublishers

SUBSCRIBE YOU TUBE: GlobalPublishers

GLOBAL TV ONLINE: www.globaltvtz.com

HADITHI ZA KUSISIMUA NA MBINU ZA UJASIRIAMALI, ERIC SHIGONGO FACEBOOK PAGE: @shigongotz

Leave A Reply