Wafanyakzi wa Global Publishers kutoka kushoto Andrew Carlos, Clarence Mulisa, Noel Joseph (aliye chuchumaa), Hemed Kivuyo na Gabliel Ng’osha wakiwa wamegonga tisheti za Gazeti la Ijumaa ambalo limeboreshwa kwa sasa linapatikana kwa Tsh 1,000/- Sokoni.
Wakiendelea kuwa katika pozi mbalimbali.