WAZANZIBARI waishio Marekani wameandamana mpaka nje ya Ikulu ya Marekani wakipinga maamuzi ya Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) kufuta matokeo ya uchaguzi.
Wazanzibar hao wameiomba Marekani iingilie kati mgogoro wa Zanzibar ili kuepusha machafuko na kuweka sawa mustakabari wa Zanzibar kuhusu matokeo ya chaguzi huo.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.