The House of Favourite Newspapers

Wema, Jokate na Wolper Washindana Insta!

0
Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa katika mapozi tofauti.
…Akiwa wenye pozi tata.
…Akijiweka vyema katika shepu ya kukubalika.
                       Staa wa Bongo, Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ akiwa mchanuo wa kuvutia.
                                     …Jokate akiwa kwenye pozi.
Staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper Massawe ‘Twiga wa Jangwani’ akiwa amepozi kiaina yake.
…Akiwa wenye pozi tata.

MASTAA wanaofanya vizuri katika filamu za Bongo, Wema Sepetu, Jokate Mwegelo na Jacqueline Wolper wameamua kushindana kwa kutupia picha mpya kwenye akaunti zao kwenye mtandao wa Instagram huku kila mmoja akimwagiwa sifa za kutosha kutoka kwa mashabiki wao. Wema Sepetu amefikisha wafuasi milioni 3.2, Wolper milioni 2.9 na Jokate Mwegelo ana wafuasi milioni 2.8.

Wafuasi hao walisema kwamba Wema ndiye aliyeongoza akifuatiwa na Jacqueline na Jokate wa tatu.

(HABARI: NICOLAUS TRAC na MTANDAO)

FULL Stori ipo hapa

Android ===>Google Play

iOS ===>Apple Store

Leave A Reply