Yanayojiri Kanisani Kwa Gwajima Leo Jumapili (+Mubashara Video)
AKIONGOZA ibada katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima, Askofu Josephat Gwajima, leo Jumapili, amesema kuwa kilichotokea ni rasharasha na si yeye aliyempiga Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, bali alilichokoza kanisa la Mungu na anachohitaji kwa sasa ni Makonda kuomba msamaha.
LIVE IBADA YA JUMAPILI 05/03/2017 – BISHOP DR J. GWAJIMA
Comments are closed.