🔴#LIVE: Rais Samia Anafanya Uzinduzi, Kamati Ya Ushauri Ya Kitaifa Ya Utekelezaji Wa Ahadi Za Nchi
Rais Samia leo Dec 16, 2021 anashiriki katika ufunguzi wa mkutano wa wadau wa kujadili hali ya Demokrasia ya vyama vingi nchini, unaofanyika katika ukumbi wa Hazina jijini Dodoma.