Birthday ya Jux Imekiki, Vee Money Amwandikia Ujumbe Huu
Hii ni ya kugiwa: tumezoea kuona mtu wako wa karibu anapokuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa, ni muhimu kumpa ujumbe muhimu kuonesha jinsi alivyo na maana kwako, wengine huandika kwenye gift paper, gift cards nakadharika.
Lakini Staa huyu wa Bongo fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Mone’ ametumia fursa ya siku ya kuzaliwa ya mpenzi wake, ambaye pia ni Staa wa muziki wa R&B hapa Bongo, Juma Jux kumwandikia ujumbe muhimu kudhihirisha ni kwa kiasi gani anampenda huku akiutaja wimbo wao wa pamoja, #Wivu kuwa ndiyo nguzo ya kukutana na kuanzisha uhusiano wao: