×

Breaking News

Gari Laacha Njia, Laua Machinga Mwanza

  MWANAMME mmoja amefariki dunia na wengine kumi na moja kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari lililoacha njia na kuwagonga...

READ MORE

Breaking: Tito Magoti Achukuliwa na Watu Wasiojulikana

   MFANYAKAZI wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti,  anadaiwa kachukuliwa na watu wasiojulikana akiwa maeneo...

READ MORE

Kimenuka! Trump Apigiwa Kura Akishtakiwa, Bunge Kumng’oa

  BARAZA la Wawakilishi la Marekani limepiga kura kuridhia kushtakiwa kwa Rais Donald Trump kwa kutumia vibaya madaraka yake na...

READ MORE

Tanzia: Mzee Akilimali wa Yanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Katibu wa Baraza la Wazee la Klabu ya Young Africans (Yanga), Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia leo asubuhi, Jumamosi,...

READ MORE

Kinana, Makamba, Membe Waitwa Kujieleza

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo...

READ MORE

JPM: Ndege Yetu Iliyoshikiliwa Canada Imeachiwa

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imakamatwa nchini Canada imeachiwa na wananchi...

READ MORE

Malinzi, Mwesigwa Wahukumiwa Jela, Warejea Uraiani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Leo Jumatano Desemba 11, 2019 imemtia hatiani aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

READ MORE

Mfungwa Aliyesamehewa na Rais JPM Agoma Kutoka Gerezani, Ajijeruhi

KATIKA Sherehe za kuadhimishi kumbukumbu ya siku ya Uhuru wa Tanganyika, maadhimisho ambayo hufanyika kila mwaka Disemna 9, jana Rais...

READ MORE

Wafungwa 79 Gereza Butimba Waliosamehewa na Rais Waachiliwa

Leo Desemba 10, wafungwa 79 wameachiwa kati ya wafungwa 190 waliopewa msamaha na Rais Dkt. John Magufuli  kwa mkoa wa...

READ MORE

Mwili wa Seth Waagwa, Mama Kanumba Aishiwa Nguvu – Video

MWILI wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mdogo wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco umeagwa leo baada...

READ MORE

Mbowe, Nyalandu, Mnyika, Lema, Sumaye Wahudhuria Uhuru Day – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ...

READ MORE

Tanzia: Mdogo wa Kanumba, Seth Bosco Afariki Dunia

MDOGO wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo Desemba 7, 2019, baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani...

READ MORE

Breaking News: Jengo la Ghorofa Sita Laporomoka

RIPOTI nchini Kenya zinasema kuwa jengo la ghorofa sita limeanguka asubuhi ya leo katika eneo la Embakasi jijini Nairobi, huku...

READ MORE

Breaking News: Sumaye Abwaga Manyanga, Ajiondoa Chadema – Video

WAZIRI mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.  leo Desemba 4, 2019 ametangaza rasmi kujitoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).  ...

READ MORE

Vilio Upya Makaburini! Misa ya Wazazi wa Anna Zambi – Video

SIMANZI na majonzi vimeibuka tena leo Jumamosi, Novemba 30, 2019 katika familia ya Mwanafunzi Anna Zambi ambaye miezi michache iliyopita...

READ MORE

Mbowe Arejesha Fomu Chadema, Lissu Naye Achukua

MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema atagombea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho katika Uchaguzi unaoendelea kufanyika hivi sasa ndani...

READ MORE

Breaking: Kocha Aussems Afungasha Virago Simba Sc

Kocha wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems, kupitia akaunti yake rasmi ya Instagram leo Novemba 30, 2019 amethibitisha kuwa Bodi ya...

READ MORE

Madiwani Watano CHADEMA Wajiuzulu, Watimkia CCM

MKURUGENZI wa Jiji la Arusha, Dk Maulid Madeni amesema amepokea barua za kujiuzulu za madiwani watano wa Chadema Jiji la...

READ MORE

Tanzia: Msanii Bi Cheka Afariki Dunia – Video

MSANII  mkongwe wa kike wa muziki wa Bongo Fleva, Cheka Hija Mzee, maarufu kwa jina la ‘Bi Cheka’ amefariki dunia...

READ MORE

Mvua Yaua Watu Tisa Sengerema Mwanza

WATU tisa wa familia mbili, wakiwa ni wanawake wanne  na watoto watano, wamefariki katika Kata  ya Nyatukala wilayani Sengerema, mkoani...

READ MORE

28 Wafariki Ndege Ikianguka Kwenye Makazi ya Watu

WATU ishirini na nane wamefariki mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutokana na ajali ya ndege iliyoanguka katika...

READ MORE

AJALI: Lori la Mafuta Laua Watatu Mlimani City Dar – Video

     WATU watatu amefariki dunia na mmoja kujeruhiwa kufuatia ajali ya lori la mafuta mali ya Kampuni ya...

READ MORE

Breaking: Aliyekamata Airbus ya ATCL Sauz, Akamata Tena Bombardier Canada – Video

NDEGE nyingine ya Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) aina ya Bombadier ambayo ilikuwa ikijiandaa kuja Tanzania imekamatwa nchini Canada, ambapo...

READ MORE

Breaking: Baba Levo Ashinda Rufaa Mahakama Kuu Kigoma

Diwani wa Mwanga Kaskazini (ACT-Wazalendo), Clayton Chipando maarufu Baba Levo, leo Novemba 21, ameshinda rufaa yake katika Mahakama Kuu ya...

READ MORE

Breaking: Meya wa Chadema Arusha Ajiunga CCM-Video

 MEYA wa jiji la Arusha kwa tiketi ya Chadema, Kalisti Lazaro, leo Novemba 19, ametangaza rasmi kukihama chama hicho...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Heche, Msigwa, Bulaya, Mdee Wakamatwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeamuru wabunge wanne wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakamatwe na kufikishwa mahakamani hapo...

READ MORE

Mtwara: Kijiji Chavamiwa, Watu Sita Wauawa kwa Risasi

Watu sita wameuawa katika kijiji cha Ngongo Wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara na wengine saba kujeruhiwa katika mpaka wa Tanzania...

READ MORE

Aliyemuua Mjukuu Wake Ahukumiwa Kunyongwa – Video

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mwanamke Esther Lyimo (47) baada ya kupatikana na...

READ MORE

Mbowe: Mashtaka Yetu ni ya Kisiasa – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mashtaka yanayowakabili ni...

READ MORE

Hukumu ya Malinzi Yakwama, Hakimu Ahamishwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kusoma hukumu ya aliyekuwa Rais wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi na...

READ MORE

Hakimu wa Kabendera Ateuliwa Kuwa Jaji, Kesi Yakwama

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Habari, Erick Kabendera imeahirishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu hadi Novemba 20,...

READ MORE

Jambazi Kambare Aliyeteleza Akikamatwa Auawa Dar – Video

JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, limefanikiwa kuua watu wawili wanaodhaniwa kuwa ni majambazi sugu akiwemo aliyefahamika...

READ MORE

ZAHERA Atimuliwa Yanga, Mkwasa Atangazwa – Video

Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga Mshindo Msolla amethibitisha kuwa Klabu hiyo imeachana na Kocha wao Mwinyi Zahera, Pamoja na Benchi...

READ MORE

Breaking: Aveva, Kaburu Warejea Uraiani – Video

  Waliowahi kuwa viongozi wa juu wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na makamu wake Godfrey Nyange ‘Kaburu’ wameachiwa kwa...

READ MORE

Mbowe Ajitetea, Aieleza Mahakama Hakuwepo Kwenye Maandamano

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe  ameieleza Mahakama ya Halimu Mkazi Kisutu kuwa hakuwepo kwenye maandamano...

READ MORE

Breaking: Ghorofa Lateketea kwa Moto Kariakoo – Video

JENGO moja la ghorofa lililopo Kariakoo, Mtaa wa Livingstone na Mkunguni linawaka moto mchana huu wa Jumamosi, Novemba 2, 2019...

READ MORE

Lugola: Siku za ‘Kigogo’ Zinahesabika, Mtaoga ‘Washawasha’ – Video

WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola amesema siku za mtu anayejiita ‘Kigogo’ kwenye mitandao ya kijamii ambaye amekuwa akiwazushia...

READ MORE

RC Makonda Apiga Marufuku Kampuni ya Nyanza Kupewa Tenda Dar

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amewataka watendaji wa halmashauri za Mkoa huo huo kuzingatia misingi ya...

READ MORE

Ndege Yachomoka Gurudumu, Yashuka kwa Dharura

NDEGE ya Shirika la Silverstone imelazimika kutua kwa dharura baada ya gurudumu lake kuanguka wakati ikipaa, jana Jumatatu, Oktoba 28,...

READ MORE

Kununua Dreamliner Marekani, Rais Trump Ampongeza JPM – Video

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli amewaongoza Watanzania kupokea ndege mpya ya Shirika la Ndege...

READ MORE