×

Celebrities

Dayna nyange: Ni kigogo gani wa kuniweka mjini?

WIKI hii tunaye msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya, Dayna Nyange anayetamba na Wimbo wa Angejua. Yupo hapa kujibu maswali...

READ MORE

Ray J amjia juu Kanye West

‘Ray J’ Los Angeles, Marekani Mwanamuziki William Ray Norwood ‘Ray J’ hivi karibuni amemjia juu Kanye West baada ya kutoa...

READ MORE

Linah na skendo ya kuvuta unga, sigara!

Stori: Musa Mateja,  Ijumaa Dar es Salaam: Huku akitumia nguvu kubwa kukanusha, sexy lady anayefanya ‘fresh’ kwenye Bongo Fleva, Esterlina...

READ MORE

Madaha: Siwezi kuzaa na ‘mwanaume suruali’

Na Imelda Mtema, Ijumaa Mwanamuziki ambaye pia ni muigizaji, Baby Joseph Madaha amefunguka kuwa anaweza akafikisha hata miaka 40 bila...

READ MORE

Shilole anunua nyumba ya mil. 45

Stori:  Musa Mateja, Ijumaa DAR ES SALAAM: Wakati baadhi ya watu wakiamini kukata viuno (nyonga) na kuimba muziki ni kazi...

READ MORE

Ervixy: Belle 9, Prezzo wananipeleka kimataifa

Ervixy Stori: Boniphace Ngumije Msanii Mbongo anayefanya shughuli zake za kimuziki nchini Kenya, David Kallanja ‘Ervixy’ amefunguka kuwa kolabo yake...

READ MORE

Nuh, Kalama waandaliwa ‘mchambo’

Shilole Stori: Hamida Hassan Wale wadada waliokuwa wakiunda Kundi la Scorpion Girls, Baby Madaha, Isabela Mpanda na Miriam Jolwa ‘Kabula’...

READ MORE

Davina: Nimemisi kupika futari ya familia

Na Hamida Hassan, Ijumaa Dar es Salaam: Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amefunguka kuwa amemisi kupika futari...

READ MORE

Pombe yamuaibisha Mariah Carey

Las Vegas,  Marekani Mwanamuziki Mariah Carey ambaye ni mama wa watoto wawili, Monroe na Moroccan juzikati alijikuta akiaibishwa na pombe...

READ MORE

Toni Braxton, Birdman wageuka gumzo!

LOS ANGELES, Marekani STAA wa Muziki wa R&B, Toni Braxton na mkali wa Hip Hop, Birdman wanaodaiwa kuwa ni wapenzi...

READ MORE

Wema afungukia ugomvi wake na Aunt

Wema Sepetu na Aunt Ezekiel. IMELDA MTEMA, Amani STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa...

READ MORE

Esha Buheti ageukia pombe

IMELDA MTEMA, Amani MKALI wa filamu za Kibongo, Esha Buheti ameweka wazi kwamba hivi sasa ameamua kugeukia pombe kutokana na...

READ MORE

Snura ahofia ‘Chura’ kupotea!

IMELDA MTEMA, Amani STAA wa Muziki wa Mduara, Snura Mushi ‘Snura’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachomuogopesha kwa sasa kama kufanya...

READ MORE

Dj Black Coffee, mkongwe aliyewafunika akina Diamond BET

Makala: Boniphace Ngumije MAELFU ya mashabiki wa Muziki wa Kizazi Kipya nchini walikuwa wameelekeza macho na masikio yao katika Ukumbi...

READ MORE

Hawa Ndiyo Washindi wa Tuzo za BET 2016

Beyonce. Jana Jumapili Juni 26, BET walifanya tuzo zao za mwaka zinazojikita katika tasnia za muziki, burudani michezo, na nyingine...

READ MORE

P.I.M.P. Yampeleka 50 Cent lupango!

Marekani RAPA maarufu dunia kutoka lebo ya G-Unit, 50 Cent amekamatwa na Kikosi cha Uslama na kupelekwa lupango huko Saint...

READ MORE

Yatima wamshushia maombi Wema

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ AStori: Imelda Mtema, Wikienda DAR ES SALAAM: BAADHI ya watoto yatima kutoka Kituo cha Mitindo House...

READ MORE

Sabby: Zari hanifikii kwa lolote

Sabby Angel Stori: Hamida Hassan, Wikienda DAR ES SALAAM: STAA wa sinema za Kibongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ ameibuka na...

READ MORE

Gigy aapa kumkomesha Diva!

Gift Stanford ‘Gigy Money’ Stori: Mayasa Mariwata, Wikienda DAR ES SALAAM: MWANADADA asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ ambaye...

READ MORE

Kanye atikisa mitandao!

NEW YORK, Marekani STAA wa Hip Hop kutoka Marekani, Kanye West hivi karibuni alitikisa mitandao mbalimbali baada ya picha zake...

READ MORE

Blac Chyna afurahia kumzalia Rob Kardashian

MWANAMITINDO ambaye hakauki kwenye media Angela White ‘Blac Chyna’, 28, hivi karibuni amefunguka juu ya sababu za kwa nini anahitaji...

READ MORE

Lulu: Sichukii baby wangu kuwa na watoto baki

Stori: IMELDA MTEMA Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewakata ‘vilimi’ wale waliokuwa wanamsema vibaya kuhusu mchumba wake...

READ MORE

Odama: Filamu zitatuua njaa

Stori: Boniphace ngumije MWANADADA anayeuza sura kwenye filamu za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amesema kuwa kutokana na namna soko la...

READ MORE

Izzo Business: Bado niponipo sana

Stori: Boniphace Ngumije MWANAMUZIKI wa Hip Hop ambaye kwa sasa ameunda kundi lake linalojulikana kwa jina la The Amaizing ambalo...

READ MORE

Joh Makini alia na wahalifu wa mitandaoni

Stori: BONIPHACE NGUMIJE MKALI katika gemu la Muziki wa Hip Hop, Bongo, John Saimoni ‘Joh Makini’ amefunguka kuwa serikali inatakiwa...

READ MORE

Drake ashitakiwa kwa wizi wa mdundo

KIMENUKA! Rapa maarufu kutoka Marekani, Aubrey Graham ‘Drake’ ameingia matatani baada ya kukumbwa na tuhuma za wizi wa mdundo hata...

READ MORE

Nuh Mziwanda: Jike Shupa imetokana na vigodoro

WAKATI Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ anaanza safari yake ya muziki miaka kadhaa iliyopita, wengi wetu tulikuwa hatuamini kama ipo siku...

READ MORE

Wema Atoboa Siri Yake na Zari

Wema Sepetu. Stori: Imelda Mtema, Ijumaa Dar es Salaam: Kwa mara ya kwanza, staa kiwango kunako sinema za Kibongo, Wema...

READ MORE

CR7 Msururu wake wa mademu ni noma!

MWANDISHI WETU na Mitandao CRISTIANO Ronaldo anafahamika kwa uwezo wake mkubwa katika kutikisa nyavu, akiwa mmoja wa wafungaji wakali wa...

READ MORE

Seyi Shayi atamba kung’aa tuzo za Nea

MSANII wa kike anayefanya vizuri kwa sasa Afrika, Deborah Oluwaseyi Joshua ‘Seyi Shay’ amefunguka kuwa albamu yake ya Seyi or...

READ MORE

Davido Kuja na Trey Songz

David Adeleke ‘Davido’ MKALI wa ‘hits’ kibao Ikiwemo Skelewu, David Adeleke ‘Davido’ yupo njiani kuja na kolabo na staa wa...

READ MORE

Sabby: Kiba Alitaka Kuniua kwa Mahaba

Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ Na Imelda Mtema MSANII anayefanya muziki na filamu Bongo, Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amefunguka kwa kinywa...

READ MORE

Msiwazushie! Beyonce, Jay Z penzi spidi 120

Hawaii,  Marekani Yamekuwa yakizuka madai kuwa mastaa wanandoa, Beyonce Knowles na mumewe Shawn Corey Carter ‘Jay Z’ wanafikiria kuachana ila...

READ MORE

Uwoya amtia majaribuni Richie Mwezi Mtukufu

Irene Uwoya Na mwandishi wetu WAKATI Waislam wakiwa kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, staa wa filamu Bongo, Irene...

READ MORE

Mtoto wa Aunt awa kivutio shuleni

Aunt Ezekiel na mwanaye Cookie. Na Imelda Mtema MTOTO wa staa wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel, Cookie amegeuka kivutio baada...

READ MORE

Haya ndiyo yaliyomkuta Rihanna jukwaani!

Rihanna akibubujikwa na machozi jukwaani. Dublin NYOTA wa muziki Rihanna alibubujikwa na machozi wakati wa tamasha mjni Dublin usiku wa...

READ MORE

Aunt ang’aka kisa ubonge

Imelda Mtema, Amani STAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ameng’aka baada ya baadhi ya mashabiki kumnanga kuwa anaelekea kuzeeka kutokana...

READ MORE

Ini Edo anasa mimba

MKONGWE kunako filamu Nigeria, Iniobong Edo ‘Ini Edo’ amenasa mimba kutoka kwa mchumba wake mpya ambaye ni staa wa filamu...

READ MORE

Iggy: Siolewi na mwanaume nisiyemuamini!

ZIKIWA zimepita siku kadhaa tangu rapa wa kike kutoka Australia, Iggy Azalea atemane na mchumba wake ambaye ni mkali wa...

READ MORE

Wamekopi na kupesti kutoka kwa hawa!

Makala: Boniphace Ngumije IMEZOELEKA kuwa kwa kawaida, mwanaume anapaswa kumzidi umri mpenzi wake wa kike. Hili limekaa vizuri na linakubalika...

READ MORE