×

Celebrities

Bella kuja na sapraizI Dodoma, Julai 22

KING of The Best Melodies, Christian Bella ‘Obama’ anatarajiwa kuja na bonge la sapraizi katika shoo ya kihistoria itakayofanyika Julai...

READ MORE

Mahakama Yamsaka Meneja wa Diamond ‘Babu Tale’

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa hati ya kukamatwa kwa Hamis Tale ‘Babu Tale,’ ambaye ni meneja wa...

READ MORE

Diamond hongera, lakini umejidhalilisha!

KWAKO King wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Habari za siku ndugu yangu. Vipi familia yako yote haijambo? Ukitaka kunijulia...

READ MORE

Simulizi ya kusikitisha kutengana kwa P Square

Makala: Boniphace Ngumije GUMZO katika media mbalimbali kwa miezi kadhaa sasa ni juu ya kutengana kwa washikaji mapacha Peter na...

READ MORE

Utajiri Tata… Nay wa Mitego akamatwa na polisi!

Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ Stori: Waandishi Wetu, Wikienda DAR ES SALAAM: Kimenuka mbaya! Nyuma ya...

READ MORE

Lamar Odom anaswa na machangudoa

NEW YORK, Marekani BADO skendo zinaendelea kumwandama mume wa zamani wa Khloe Kardashian, Lamar Odom baada ya hivi karibuni kuripotiwa...

READ MORE

Lil Wayne aburuzwa mahakamani

NEW YORK, Marekani MWANAMUZIKI wa Hip Hop, Lil Wayne, amejikuta akiingia matatani baada ya kuburuzwa mahakamani na Kampuni ya American...

READ MORE

50 Cent: Kanye west, Donald Trump ndiyo walewale tu

NEW YORK, Marekani RAPA Curtis Jackson a.k.a 50 Cent akiwa katika mahojiano aliyofanyiwa hivi karibuni, amegusia kuhusiana na hatua ya...

READ MORE

Nido za Kajala zageuka gumzo!

Stori: Musa Mateja na Imelda Mtema, Wikienda DAR ES SALAAM: Staa ‘the big name’ wa sinema za Kibongo, Kajala Masanja...

READ MORE

Joh Makini Alivyoifungukia… Perfect Combo

John Simon Mseke ‘Joh Makini’. ANDREW CARLOS MTAYARISHAJI, mwongozaji na mwanakatuni maarufu wa Kimarekani, Walter Elias Disney ‘Walt Disney’ aliyewahi...

READ MORE

Wema, Idris wamwagana rasmi

Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Idris Sultan UBUYU: Waandishi Wetu, Wikienda  DAR ES SALAAM: Ubuyu wa motomoto wa mjini ni...

READ MORE

Steve Jobs: Mungu hakuumba maskini, kwa nini wewe ni maskini?

Mafanikio hayawezi kuja wakati umelala. Hutakiwi kuuamini sana msemo wa ‘kulala maskini na kuamka tajiri’. Ili ufanikiwe, unatakiwa ufanye kazi...

READ MORE

Vee Money kuuza albamu mtandaoni

STAA wa Muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amefunguka kuwa albamu yake mpya ya Money Mondays ambayo bado...

READ MORE

Nisha: Majungu, wivu vilinitenga na marafiki

Stori: Hamida Hassan, Wikiend DAR ES SALAAM: Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka sababu za yeye...

READ MORE

Siwema: Nay hajanikatisha tamaa ya kuwa na Staa

Stori: Imelda Mtema, Wikienda DAR ES SALAAM: Mrembo aliyezaa na Mwanamuziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Siwema...

READ MORE

Amber Lulu adaiwa kusitiriwa msiba wa mama yake

Stori: Hamida Hassan, Wikienda DAR ES SALAAM: Untold story! Kufuatia nguo zake za vichupi anavyovaa wakati mwingi, video queen maarufu...

READ MORE

Izzo: Mpenzi wangu hahofii ukaribu wangu na Abela

Emmanuel Simwenga ‘Izzo Bizness’ na Abela Kibira ‘Abela Music’. MAKALA: Boniphace Ngumije THE Amaizing ni moja ya makundi ya muziki...

READ MORE

Mwanaheri: Adui yangu mkubwa ni uchafu

Mwigizaji wa Filmu za Bongo, Mwanaheri Ahmed MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu wa Mpaka Home! Baada ya wiki jana kuwa...

READ MORE

Gigy: Bila pesa sitoi penzi

Stori: Boniphace Ngumije Muuza sura kwenye video za Kibongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ amefunguka kuwa kutokana na wanaume wengi wakware...

READ MORE

Mo music: kama si ustaa ningeteseka!

Stori: Boniphace Ngumije MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Moshi Katemi ‘Mo Music’ amesema kuwa kama si ustaa angeteseka sana...

READ MORE

Wema ‘amtesa’ Idris

Wema Sepetu ‘Madam’ na mpenzi wake Idris Sultan wakiwa stejini.  Musa Mateja,Risasi Jumamosi DAR ES SALAAM: Ni mateso ya kiaina!...

READ MORE

Shilole sikio la kufa!

Zuena Mohammed ‘Shilole’ akiwa stejini. Hamida Hassan, Risasi Jumamosi Mwanamuziki Zuena Mohammed ‘Shilole’ anaonekana ni sikio la kufa baada ya...

READ MORE

Penny aumia shisha kuzuiwa

Stori: Imelda Mtema MTANGAZAJI maarufu Bongo, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema kuwa ameumizwa sana na kupigwa marufuku uvutaji wa sigara aina...

READ MORE

Shamsa: Siachiki kwa Chid Mapenzi

Stori: Imelda Mtema MTOTO mzuri Bongo Muvi, Shamsa Ford ametikisa kinywa chake na kusema, wanaomuombea aachike kwa mpenzi wake, Chid...

READ MORE

Bozi apunwa simu kwenye kamari

Stori: Mayasa Mariwata AMEPUNWA! Ndivyo wasemavyo watoto wa mjini kufuatia mwigizaji wa sinema za Kibongo, Fatuma Ayubu ’Bozi’ kuambulia maumivu...

READ MORE

Mastaa wanaovuma kwa nyota za wenzao

Steven Kanumba enzi za uhai wake. STORI: GABRIEL NG’OSHA Ni kweli kila mwanadamu ana nyota yake lakini baadhi ya mastaa...

READ MORE

Kaburi la Kanumba lavunjwa kichwani na miguuni!

Aliyekuwa nguli wa  lamu Bongo, Steven Kanumba NA MAYASA MARIWATA RISASI MCHANGANYIKO DAR ES SALAAM: KATIKA hali iliyohusishwa na imani...

READ MORE

Pichaz: Zitto Kabwe Alivyofunga ndoa Zanzibar

Mbunge wa Kigoma mjini, Zitto Kabwe jana aliuacha rasmi ukapera baada ya kufunga ndoa na mpenzi wake Anna Mtura aliyemvisha...

READ MORE

Kylie Jenner avalishwa pete ya uchumba

Licha ya kugombana mara kwa mara na kufikia hatua ya kufunguliana mashtaka, Kylie Jenner akidai mpenzi wake Micheal Ray Stevenson...

READ MORE

Kisa sms… Lindsay, baby wake wazinguana kinoma shereheni

Muigizaji Lindsay Lohan juzikati alijikuta akidata baada ya kuona ujumbe wa kimapenzi kutoka kwa mwanamke mwingine kwenye simu ya mpenzi...

READ MORE

Uwoya: Nikilala, nikiamka nawaza siasa tu

Imelda Mtema STAA mkali Bongo Muvi, Irene Uwoya amefunguka kuwa bado hajakata tamaa ya kuwa mwanasiasa japokuwa mwaka jana alishindwa...

READ MORE

Rayuu akacha shisha

MAYASA MARIWATA MSANII wa filamu Bongo, Alice Bagenzi ‘Rayuu’ aliyewahi kuripotiwa kuwa mtumiaji mzuri wa kilevi cha shisha, amesema kuwa,...

READ MORE

Shamsa adaiwa kuchumbiwa

Mayasa Mariwata UBUYU uliokolea rangi jijini ni kwamba staa wa filamu Bongo, Shamsa Ford anadaiwa kuchumbiwa na mfanyabiashara maarufu Bongo,...

READ MORE

Linah Kivazi Chake Chazua Gumzo

    Esterina Sanga ‘Linah’ MWANDISHI WETU KIVAZI cha staa wa Muziki wa Bongo Fleva, Esterina Sanga ‘Linah’ alichokivaa usiku wa...

READ MORE

Shilole: Nimejipanga kimataifa

MWANAMUZIKI wa Muziki wa Bongo Fleva, Shilole Mohamed ‘Shilole’ ameibuka na kusema kuwa amejipanga ipasavyo kuanzia kwenye mashairi hadi mpangilio...

READ MORE

Dudubaya kutoka na kideo cha Pokopoko

Said Ally, Dar es Salaam MSANII wa Hip Hop Bongo, Godfrey Tumaini ‘Dudubaya’ yupo kwenye mipango ya ‘kushuti’ video ya...

READ MORE

Bamboo: Diamond hana hadhi kutoka na Victoria Kimani

Diamond. Makala: Boniphace Ngumije TASNIA ya muziki Afrika Mashariki ilianza kumfahamu mkali wa miondoko ya Hip Hop, kijana mzaliwa wa...

READ MORE

Baby Madaha avishwa pete ya uchumba

Gladness Mallya HABARI njema! Kwa mara ya kwanza, staa wa muziki na filamu Bongo, Baby Madaha amejikuta akitoa meno yote...

READ MORE

Lulu usitukane wakunga, uzazi ungalipo!

KWAKO mtoto mzuri ndani ya Bongo Muvi, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Hujambo? Habari ya huko ulipo? Wazima wote na familia yako?...

READ MORE

Steve Nyerere: Mastaa tupunguze ‘raundi’

Stori: Imelda Mtema MCHEKESHAJI mahiri Bongo, Steve Nyerere amewataka mastaa wenzake kupunguza kuagiza raundi wanapokuwa kwenye starehe za unywaji pombe...

READ MORE