×

Habari

Rubani Atuhumiwa Kurusha Ndege Miaka 17 Bila Kuwa na Leseni Halali

Mamlaka za Canada zimesema rubani wa zamani wa shirika la ndege la Air Canada anatuhumiwa kusafirisha maelfu ya abiria kwa...

READ MORE

Somalia Yasikitishwa na Kuzuiwa kwa Mwamuzi Omar Artan Kuingia Marekani

Serikali ya Somalia imemtetea mwamuzi wake maarufu Omar Artan baada ya kunyimwa ruhusa ya kuingia Marekani, jambo lililomfanya kushindwa kuwa...

READ MORE

Fahamu Samaki wa Ajabu Anayetumia Umeme Kuwinda na Kujitetea

Samaki aina ya Electric Catfish ni miongoni mwa viumbe wa ajabu zaidi majini kutokana na uwezo wake wa kuzalisha umeme...

READ MORE

Fahamu Faida 7 za Ajabu za Kula Mlenda Mwilini

Mlenda ni mboga inayopatikana kwa urahisi sokoni na majumbani, lakini watu wengi hawajui kuwa ni dawa asilia yenye virutubisho vingi...

READ MORE

Shigongo Atimiza Ahadi kwa Mama Aliyezuia Mauaji ya Kijana – Video

Mwanamama Salome Lawrance Kikoti ambaye siku chache zilizopita alitrend kwenye mitandao ya kijamii baada ya kufanya tukio la aina yake,...

READ MORE

Trump Athibitisha Helikopta ya Marekani Kushambuliwa na Iran Hormuz

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema Iran imeidungua moja ya Helikopta za kisasa za kijeshi za Marekani aina ya Apache...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Mapokezi ya Rais wa Singapore Ikulu ya Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amempokea rasmi Tharman Shanmugaratnam katika Ikulu ya Dar...

READ MORE

Helikopta ya Kijeshi ya Marekani Yaanguka Hormuz, Trump Afunguka

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa wanajeshi wawili wa helikopta ya kijeshi ya Marekani wako salama baada ya kuokolewa...

READ MORE

Ufaransa Yajivunia Kikosi Cha Moto Kuelekea Kombe la Dunia

Kuanzia tarehe 11 June tutaenda kushudia vipaji vya maana kwenye michuano hii ya Kombe la Dunia ambapo tayari Meridianbet imeshakupatia...

READ MORE

Trump: Makubaliano ya Amani Iran na Israel Yamefikia Hatua za Mwisho

Rais wa Marekani Donald Trump amesema mazungumzo ya amani kati ya Iran na Israel yako katika hatua za mwisho baada...

READ MORE

FIFA Yamuondoa Mwamuzi wa Somalia Kombe la Dunia 2026 Baada ya Kuzuiwa Marekani

Shirikisho la Soka Duniani, FIFA limethibitisha kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan, hatachezesha mechi za Kombe la Dunia 2026...

READ MORE

Maajabu Ya Airbus A380-800 Yanayowashangaza Watu Duniani

Ndege ya Airbus A380-800 imeendelea kutajwa kuwa moja ya ndege kubwa na za kipekee kuwahi kutengenezwa duniani kutokana na ukubwa...

READ MORE

Mabadiliko ya Tabianchi Yaendelea Kutishia Uchumi wa Tanzania

Kadri changamoto za mabadiliko ya tabianchi zinavyoendelea kuongezeka duniani ndivyo amabvyo kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) inaendelea kuonesha jinsi...

READ MORE

Cheza Slotopia, Furahia Bonasi na Ushindi Ndani ya Meridianbet

Kwa vijana wanaopenda burudani ya kisasa mtandaoni, Slotopia ndani ya Meridianbet imeleta kiwango kipya cha michezo ya sloti. Hapa unapata...

READ MORE

Mama Ntilie Wa Kariakoo Anayetrendi Kujaza Wateja, Afunguka Mazito – Video

Siku chache zilizopita, video ilianza kusambaa mitandaoni ikimuonesha mama lishe mmoja akihudumia wateja wengi waliomzunguka katika eneo la Kariakoo, jijini...

READ MORE

Marubani Wawili Wafariki Katika Ajali ya Private Jet ya Yadier Molina

Gwiji wa zamani wa mchezo wa Baseball, Yadier Molina amenusurika kupanda ndege binafsi aina ya Gulfstream G200 iliyopata ajali na...

READ MORE

Tambua Setingi Muhimu Kwenye Simu Yako ya Android Ili Kujilinda

Katika ulimwengu wa sasa ambao teknolojia imekuwa sehemu ya maisha ya kila siku, simu za Android zimebeba taarifa nyingi muhimu...

READ MORE

Faida ya Sh Trilioni 1 Yaipa NMB Msukumo wa Ukuaji Mpya

  Benki ya NMB imetangaza kuingia katika awamu mpya ya ukuaji baada ya kukamilisha Mpango wake wa Muda wa Kati...

READ MORE

Mauzo ya Hatifungani za Makazi Yavunja Rekodi, Yakua kwa Asilimia 661.1

MAUZO ya Hatifungani ya MAKAZI ya Kampuni ya First Housing Finance Limited yamepata mafanikio ya asilimia 661.1, ambapo kiasi cha...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Dar – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu jijini Dar...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Iran na Israel Kusitisha Mashambulizi, Houthis Waingia Kwenye Vita – Video

Rais wa Marekani Donald Trump ameitaka Iran na Israel kusitisha mara moja mashambulizi yao ya kulipizana kisasi huku hali ya...

READ MORE

Fahamu Njia Sahihi ya Kupaki Gari la Automatic, Linda Gearbox Yako

Wataalamu wa magari wameeleza kuwa kuna utaratibu muhimu unaoshauriwa kufuatwa wakati wa kupaki gari aina ya automatic ili kulinda mfumo...

READ MORE

Uwekezaji wa Urusi Wafungua Fursa Mpya za Ukuaji wa Uchumi Tanzania- Balozi Ulanga

Serikali ya Tanzania imeendelea kuimarisha diplomasia ya uchumi kwa mafanikio makubwa baada ya kuvutia wawekezaji kutoka Urusi katika sekta mbalimbali...

READ MORE

Fahamu Kiumbe Cha Bahari Chenye Siri Nyingi Za Kushangaza, Soma Hapa

Pweza ni kiumbe cha baharini chenye maajabu mengi ikiwemo kuwa na mioyo 3 ambapo moyo mmoja husukuma damu kwenda sehemu...

READ MORE

Gari la Maajabu: Fahamu 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD

Katika ulimwengu wa magari ya kisasa, 2026 Hyundai Palisade Calligraphy Hybrid AWD imejitokeza kama chaguo la kisasa kwa familia, wapenzi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 8, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Airtel Yaungana na Serikali Kupanda miti Bagamoyo na Kusafisha Fukwe Dar

Bagamoyo, Juni 5, 2026 Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo imetoa wito kwa wadau wa maendeleo kuimarisha ushirikiano na serikali katika...

READ MORE

Uhifadhi Mazingira, Standard Chartered Yaongoza Upandaji Miti

Kama sehemu ya dhamira yake endelevu ya kukuza uendelevu wa mazingira na uhifadhi wa mazingira, Standard Chartered Tanzania iliongoza shughuli...

READ MORE

Global TV Online Yatangaza Nafasi ya Kazi ya Content Moderator

GLOBAL TV imetangaza nafasi ya kazi kwa vijana wenye ubunifu na shauku ya kufanya kazi kwenye sekta ya habari za...

READ MORE

Kim Kardashian na Dada Yake Waibuka Monaco Kumshangilia Lewis Hamilton

Kim Kardashian ameonekana akimpa sapoti mpenzi wake Lewis Hamilton wakati wa mazoezi ya kufuzu kuelekea Monaco Grand Prix 2026 iliyofanyika...

READ MORE

Marekani Yapanga Kutumia Mali za Iran Kufidia Uharibifu Mashariki ya Kati

Serikali ya Marekani inapanga kuangalia uwezekano wa kuelekeza mali za Iran kwenda mataifa ya Ghuba kwa ajili ya kugharamia ukarabati...

READ MORE

Familia ya Watu Wenye Ulemavu Yapewa Msaada wa Ujenzi Baada ya Nyumba Kubomoka – Video

Taasisi ya Tanzania Generation Care imetoa msaada wa mifuko ya saruji, mabati pamoja na matofali kwa ajili ya kumsaidia mlemavu...

READ MORE

Rais Samia Aweka Rekodi ya Kupokea Shahada za Heshima Nyingi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametunukiwa jumla ya shahada nane za heshima (Honorary Doctorates) tangu...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya Nje Iran Amjibu Rais wa Lebanon Kwa Maneno Makali

TEHRAN, Iran — Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ametoa kauli kali akimjibu Rais wa Lebanon, Joseph...

READ MORE

Waziri Mkuu Aamuru Malipo ya Milioni 181 Kwa Mkazi wa Chunya

MKAZI WA CHUNYA, Bi Agnes Obeid Ole amelia machozi ya furaha mbele ya Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba baada ya...

READ MORE

Fahamu Umuhimu wa Gearbox Oil na Madhara ya Kutoibadilisha

Katika matumizi ya kila siku ya gari, wengi huzingatia kubadilisha engine oil lakini husahau kabisa gearbox oil (mafuta ya gearbox)...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Juni 7, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mwigulu Aagiza TAKUKURU Kuchunguza Fedha za Maegesho Ifunda

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU Mkoa wa Iringa kufanya uchunguzi wa kina kuhusu ukusanyaji wa mapato...

READ MORE

Fahamu Filamu 20 Bora Zaidi Zilizotikisa Mashabiki wa Cinema 2000 – 2026

Sekta ya filamu duniani imeendelea kushuhudia kazi nyingi kubwa katika karne ya 21 (2020-2026), huku baadhi ya filamu zikibadili kabisa...

READ MORE

Rais Samia Arejea Tanzania Kutoka Ziara ya Urusi, Makamu wa Rais Ampokea (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amerejea nchini leo Juni 6, 2026 akitokea jijini St....

READ MORE